Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msigwa aonyesha video ya uwindaji haramu

>Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa ameonyesha video inayobainisha namna baadhi ya kampuni za uwindaji nchini zinavyotumia vibaya leseni zao na kufanya ujangili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Video ya uwindaji haramu iitoe Serikali usingizini

>Video kuhusu uwindaji haramu hapa nchini iliyoonyeshwa kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa itakuwa imewashtua wengi. Video hiyo inaonyesha pasipo kuacha shaka jinsi baadhi ya kampuni za uwindaji nchini zinavyotumia vibaya leseni zao na kufanya vitendo vya ujangili.

 

11 years ago

Habarileo

Msigwa: Kampuni za uwindaji zichunguzwe

Mchungaji Peter MsigwaWAZIRI Kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ametaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya kampuni zote za uwindaji, kubaini matukio ya ukiukwaji wa sheria za wanyamapori, unaosababisha taifa kupata sifa mbaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameitaka Serikali kufanya uchunguzi hata kwa kampuni kubwa za uwindaji zenye leseni halali kwani yapo yanayokiuka sheria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi wajifaidisha na uwindaji haramu

Magaidi na wanamgambo wamekuwa wakifaidi kutokana na uwindaji haramu pamoja na uharibifu wa mazingira

 

5 years ago

BBCSwahili

Mbwa wanavyokabiliana na uwindaji haramu Afrika

Mbwa wenye uwezo wa kunusa na kubaini uhalifu wameweza kupelekea mamia ya wawindaji haramu kukamatwa na kubaini njia wanazotumia wawindaji hao haramu kutorosha wanyama.

 

10 years ago

Vijimambo

UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA


Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.

UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA KISHAPU SULEIMAN NCHAMBI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA SILAHA 10, RISASI 536 NA NYAMA 'UWINDAJI HARAMU'




Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akionesha kwa waandishi wa habari silaha alizokamatwa nazo mbunge wa Jimbo la Kishapu Suleiman Masoud Suleiman 'Suleiman Nchambi'.


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ronaldo aonyesha hekalu lake Hispania

ronaldo6

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amewaonesha mashabiki mjengo wake wa kifahari kupitia video, wenye thamani ya pauni milioni 4.8.

ronaldo6

Hekalu hilo lipo La Finca sehemu ya Pozuelo de Alarcon – kitongoji cha wasomi kilomita 10 magharibi mwa wilaya ya Moncloa, Madrid pia iko karibu na nyumba za wachezaji mwenzake Gareth Bale na gwiji wa Ufaransa, Zinedine Zidane.

Akiwa na mpiga picha wa kampuni ya Unscripted Sport, Ronaldo ambaye analipwa pauni 288,000 kwa wiki baada ya kukatwa kodi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani