MAONI: Video ya uwindaji haramu iitoe Serikali usingizini
>Video kuhusu uwindaji haramu hapa nchini iliyoonyeshwa kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa itakuwa imewashtua wengi. Video hiyo inaonyesha pasipo kuacha shaka jinsi baadhi ya kampuni za uwindaji nchini zinavyotumia vibaya leseni zao na kufanya vitendo vya ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Msigwa aonyesha video ya uwindaji haramu
>Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa ameonyesha video inayobainisha namna baadhi ya kampuni za uwindaji nchini zinavyotumia vibaya leseni zao na kufanya ujangili.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Magaidi wajifaidisha na uwindaji haramu
Magaidi na wanamgambo wamekuwa wakifaidi kutokana na uwindaji haramu pamoja na uharibifu wa mazingira
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbwa wanavyokabiliana na uwindaji haramu Afrika
Mbwa wenye uwezo wa kunusa na kubaini uhalifu wameweza kupelekea mamia ya wawindaji haramu kukamatwa na kubaini njia wanazotumia wawindaji hao haramu kutorosha wanyama.
10 years ago
Vijimambo15 Nov
UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-VbL769tY46U%2FVGay1TdKAGI%2FAAAAAAADNAw%2FyyGk9jZiG44%2Fs1600%2F149108.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.
UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....
5 years ago
MichuziMBUNGE WA KISHAPU SULEIMAN NCHAMBI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA SILAHA 10, RISASI 536 NA NYAMA 'UWINDAJI HARAMU'
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akionesha kwa waandishi wa habari silaha alizokamatwa nazo mbunge wa Jimbo la Kishapu Suleiman Masoud Suleiman 'Suleiman Nchambi'.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Ujangili ulivyoiamsha Serikali usingizini
Taarifa ya Kamati ya Bunge ya Maliasili na Mazingira chini ya Mbunge wa Kahama, James Lembeli iliyotolewa hivi karibuni bungeni mjini Dodoma iliwapandisha hasira wabunge wenzake na hatimaye Mawaziri wanne wakajiuzulu.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’
Tumeridhishwa na kasi aliyoanza nayo Waziri mpya wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo mapema wiki hii.
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameitaka Serikali kufanya uchunguzi hata kwa kampuni kubwa za uwindaji zenye leseni halali kwani yapo yanayokiuka sheria.
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Serikali yawaonya wavuvi haramu
>Serikali imewaonya wavuvi na kuwataka mara moja kuacha matumizi ya baruti kuvua samani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania