Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’

Tumeridhishwa na kasi aliyoanza nayo Waziri mpya wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo mapema wiki hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa

SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa

Mawakala wa biashara ya kusafirisha watalii (Tour operators), wameiomba Serikali kupiga marufuku kwa muda uwindaji wa kitalii kama njia ya kukabiliana na uwindaji haramu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduMAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.

 

11 years ago

Michuzi

Waziri Nyalandu atembelea Idara ya Uwindaji wa Kitalii Arusha

 Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Idara ya Uwindaji wa Kitalii,Cites na Utalii wa Picha Kanda ya Kaskazini ,wakimsikiliza Waziri wa Wizara hiyo ,Lazaro Nyalandu leo kwenye ziara yake mkoani Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akisalimiana na Askari Wanyama Pori  jijini Arusha leo. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa  Idara ya Uwindaji wa Kitalii,Cites na Utalii wa Picha Kanda ya Kaskazini.

 

10 years ago

Bongo Movies

Kajala : Serikali Iangalie Wasanii

Staa wa Bongo movie Kajala Masanja ameingia hatua nyingine katika tasnia ya filamu pale ambapo atakuwa msanii wa kwanza kusambaza sinema zake mwenyewe baada ya kuona kuna ukiritimba katika usambazaji , jambo ambalo anaona kama linachelewesha maendeleo.

“Usambazaji ni changamoto kwa wasanii nimeliona hilo baada ya kutengeneza filamu yangu ya Pishu nimeona ni bora nifungue kampuni ya usambazaji ya Kajala Entertainment itaenda kwa wakati na kusambaza kazi zangu,”anasema Kajala.

Staa huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Video ya uwindaji haramu iitoe Serikali usingizini

>Video kuhusu uwindaji haramu hapa nchini iliyoonyeshwa kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi na Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa itakuwa imewashtua wengi. Video hiyo inaonyesha pasipo kuacha shaka jinsi baadhi ya kampuni za uwindaji nchini zinavyotumia vibaya leseni zao na kufanya vitendo vya ujangili.

 

11 years ago

Mwananchi

Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameitaka Serikali kufanya uchunguzi hata kwa kampuni kubwa za uwindaji zenye leseni halali kwani yapo yanayokiuka sheria.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TBS iangalie ubora nguo za dukani

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limepiga marufuku  matumizi ya nguo za ndani za mitumba kutokana na athari zake kiafya kwa watumaji. Kutokana na hatua hiyo ni ishara kuwa shirika hilo...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.

Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.

Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani