Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’
Tumeridhishwa na kasi aliyoanza nayo Waziri mpya wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo mapema wiki hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo29 Jun
Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa
SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa
10 years ago
Habarileo29 Jan
Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018
MAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4oy2FSO8Gzs/U7blshbLEHI/AAAAAAAFvAs/SB84DfygJeM/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Waziri Nyalandu atembelea Idara ya Uwindaji wa Kitalii Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-4oy2FSO8Gzs/U7blshbLEHI/AAAAAAAFvAs/SB84DfygJeM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tn5TU1NME6I/U7bltHae8kI/AAAAAAAFvBM/tmPJ56P6nPM/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_kf4vHwNi4/U7bltO_LK2I/AAAAAAAFvAw/b0FSG1DYbVU/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWEffiYCaxI/U7blt6YA9AI/AAAAAAAFvA0/dIhls-G3fUM/s1600/unnamed+(32).jpg)
10 years ago
Bongo Movies04 May
Kajala : Serikali Iangalie Wasanii
Staa wa Bongo movie Kajala Masanja ameingia hatua nyingine katika tasnia ya filamu pale ambapo atakuwa msanii wa kwanza kusambaza sinema zake mwenyewe baada ya kuona kuna ukiritimba katika usambazaji , jambo ambalo anaona kama linachelewesha maendeleo.
“Usambazaji ni changamoto kwa wasanii nimeliona hilo baada ya kutengeneza filamu yangu ya Pishu nimeona ni bora nifungue kampuni ya usambazaji ya Kajala Entertainment itaenda kwa wakati na kusambaza kazi zangu,”anasema Kajala.
Staa huyo...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
MAONI: Video ya uwindaji haramu iitoe Serikali usingizini
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Msigwa ataka serikali ichunguze kampuni kubwa halali za uwindaji
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
TBS iangalie ubora nguo za dukani
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limepiga marufuku matumizi ya nguo za ndani za mitumba kutokana na athari zake kiafya kwa watumaji. Kutokana na hatua hiyo ni ishara kuwa shirika hilo...
9 years ago
StarTV07 Jan
 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.
Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.
Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10