Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kajala : Serikali Iangalie Wasanii

Staa wa Bongo movie Kajala Masanja ameingia hatua nyingine katika tasnia ya filamu pale ambapo atakuwa msanii wa kwanza kusambaza sinema zake mwenyewe baada ya kuona kuna ukiritimba katika usambazaji , jambo ambalo anaona kama linachelewesha maendeleo.

“Usambazaji ni changamoto kwa wasanii nimeliona hilo baada ya kutengeneza filamu yangu ya Pishu nimeona ni bora nifungue kampuni ya usambazaji ya Kajala Entertainment itaenda kwa wakati na kusambaza kazi zangu,”anasema Kajala.

Staa huyo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’

Tumeridhishwa na kasi aliyoanza nayo Waziri mpya wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo mapema wiki hii.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TBS iangalie ubora nguo za dukani

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limepiga marufuku  matumizi ya nguo za ndani za mitumba kutokana na athari zake kiafya kwa watumaji. Kutokana na hatua hiyo ni ishara kuwa shirika hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali kudhibiti wizi haki za wasanii

SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, imeweka mikakati ya kudhibiti haki za kazi za wasanii wa muziki na filamu za Tanzania. Hayo yalisemwa bungeni juzi na waziri...

 

10 years ago

Bongo5

AT: Wasanii bado tunahitaji support ya serikali

Staa wa muziki wa mduara nchini, AT, amesema anaona bado kuna umuhimu mkubwa wa serikali kutoa support kwaajili ya kuwatangaza wasanii na kazi zao nje ya nchi kutokana na utajiri mkubwa na utofauti wa muziki wa Tanzania. AT ametoa wito huo kupitia kipindi cha E-Newz cha EATV. “Unajua kama ambavyo Rais alivyoweza kuonesha support kwa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond aishangaa Serikali kwa kutowathamini wasanii

Mwanamuziki wa kizazi kipya Diamond Platnum, ameeleza kushangazwa kwake na ukimya wa Serikali akisema unaashiria kutotambua tuzo ya kimataifa aliyoipata hivi karibuni kupitia MTV.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali Yasisitiza Kutoa Ushirikiano kwa Wasanii


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akimpongeza Msanii wa Filamu Bw. Ezekiel Mwakipageme maarufu kama Soudblack (wa kwanza kushoto) anayefanya kazi za filamu nchini China kwa mpango wake wa kushirikiana na wasanii wenzake watanzania katika kukuza tasnia ya filamu nchini wakati msanii huyo alipomtembelea ofisini kwake leo Jijini Dodoma.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akimsikiliza Msanii...

 

10 years ago

GPL

WASANII WAIOMBA SERIKALI KUUMALIZIA UKUMBI WA BASATA

Msanii na mzalishaji filamu nchini William Mtitu (Kulia) akiongea na wadau wa Sanaa (hawako pichani) wakati akiwasilisha mada iliyohusu ‘Ubora katika filamu na changamoto zake’ kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii. Kushoto ni Katibu wa chama cha waandishi wa habari za Sanaa na Utamaduni (CAJAtz) Hassan Bumbuli. Kwa habari zaidi, ingia hapa===>>>http://wp.me/p6irf2-2EZ ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani