Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AT: Wasanii bado tunahitaji support ya serikali

Staa wa muziki wa mduara nchini, AT, amesema anaona bado kuna umuhimu mkubwa wa serikali kutoa support kwaajili ya kuwatangaza wasanii na kazi zao nje ya nchi kutokana na utajiri mkubwa na utofauti wa muziki wa Tanzania. AT ametoa wito huo kupitia kipindi cha E-Newz cha EATV. “Unajua kama ambavyo Rais alivyoweza kuonesha support kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tunahitaji maridhiano Uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulipangwa ufanyike mwaka huu, ingawa wapo walioshauri kuwa ufanyike mwakani pamoja na uchaguzi mkuu kwa maana ya kujipa muda ili mamlaka husika ziwe zimeboresha Daftari la Wapigakura na ikiwezekana iwe imeshapatikana Tume Huru ya Uchaguzi.

 

10 years ago

GPL

MABESTE: WASANII BADO NAWAHITAJI

Staa wa ngoma ya Baadaye Sana, Venance Mabeste akiwa katika pozi kabla ya kufanya mahojiana na Global TV Online. Mabeste akiwa katika pozi.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...

 

11 years ago

Mwananchi

Irene Uwoya:Wasanii bado hatujaweza kuthamini muda wetu

Mwigizaji wa filamu na mtangazaji wa kipindi cha redio cha Paradise, Irene Uwoya, amesema licha ya kwamba wasanii wanafanya bidii kuyafikia mafanikio, kikwazo kikubwa katika safari yao ni kutokuthamini muda.

 

9 years ago

Bongo5

Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi

Lollipop

Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.

Lollipop

Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.

“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanahabari wametimiza bado Serikali

Vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), vimeendelea kufanyika nchini. Ndani ya kipindi cha siku 50 watoto wawili albino wametekwa, Yohana Bahati aliyetekwa mkoani Geita na Pendo Emmanuel aliyetekwa mkoani Mwanza.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali bado haijaruhusu kuagiza kuku

>Serikali imesisitiza uamuzi wake wa kupiga marufuku uingizwaji nchini wa kuku, nyama ya kuku na vifaranga ili kudhibiti ugonjwa ya mafua ya ndege na kulinda wawekezaji wa ndani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Uchaguzi serikali za mitaa bado

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema-Bara), John Mnyika, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuwapotosha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekwishafanyika na viongozi wake...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuhamia Dodoma bado kipaumbele cha Serikali?

Mjadala kuhusu Serikali kuhamia Dodoma juzi uliibua mapya bungeni kwa baadhi ya wabunge kusema hicho siyo tena kipaumbele cha Taifa, huku wengine wakisema azima ya Serikali kuhamia Dodoma lazima ibaki palepale.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani