AT: Wasanii bado tunahitaji support ya serikali
Staa wa muziki wa mduara nchini, AT, amesema anaona bado kuna umuhimu mkubwa wa serikali kutoa support kwaajili ya kuwatangaza wasanii na kazi zao nje ya nchi kutokana na utajiri mkubwa na utofauti wa muziki wa Tanzania. AT ametoa wito huo kupitia kipindi cha E-Newz cha EATV. “Unajua kama ambavyo Rais alivyoweza kuonesha support kwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Tunahitaji maridhiano Uchaguzi Serikali za Mitaa
10 years ago
GPLMABESTE: WASANII BADO NAWAHITAJI
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Irene Uwoya:Wasanii bado hatujaweza kuthamini muda wetu
9 years ago
Bongo509 Nov
Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi
![Lollipop](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/Lollipop-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.
Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.
“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Wanahabari wametimiza bado Serikali
11 years ago
Mwananchi16 May
Serikali bado haijaruhusu kuagiza kuku
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Mnyika: Uchaguzi serikali za mitaa bado
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema-Bara), John Mnyika, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuwapotosha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekwishafanyika na viongozi wake...
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Kuhamia Dodoma bado kipaumbele cha Serikali?