Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa

MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...

 

9 years ago

Michuzi

TRA KUPAMBANA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII

 Na Raymond Mushumbusi MAELEZO
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema itaendelea kupambana na wale wote watakaogundulika kwa wizi wa kazi za sanaa.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari na kueleza kuwa wapo katika operesheni ya kukamata wezi wa kazi za sanaa .
"Ipo  kamati ambayo inajumuisha wadau kama Bodi ya Filamu, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na COSOTA ikishirikiana na Jeshi la Polisi katika...

 

9 years ago

Bongo5

Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi

Lollipop

Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.

Lollipop

Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.

“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kandoro alia na wizi kwa njia ya mitandao

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro ameitaka Mamlaka ya Mawasilino Tanzania (TCRA) kushirikiana na kampuni za simu za mkononi kudhibiti wimbi la wizi wa kutumia mitandao ulioibuka nchini

 

11 years ago

Mwananchi

Prof Tibaijuka alia na riba kubwa za benki

>Riba kubwa za beki ni changamoto kubwa inayoikabili sekta ya nyumba nchini hali ambayo inasababisha nyumba zinazokopeshwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), zionekane zina bei kubwa.

 

9 years ago

TheCitizen

Prof Jay says he will be a candidate in TZ elections

Bongo Flava’s veteran rapper Professor Jay, real name Joseph Haule, has finally confirmed that he will be running for office this October during Tanzania’s General Elections. The rapper is contesting for a parliamentary seat in Mikumi Constituency on a Chadema Party ticket.

 

11 years ago

GPL

AUDIO: THE PLAYLIST NA PROF JAY

THE PLAYLIST Ndio Show kali ya weekend inayoongozwa na Presenter Mjanja Lil Ommy kupitia 100.5 Times fm kila jumapili Saa 10 - 11 jioni. Sikiliza Ngoma 5 kali alizocheza Professor Jay kwenye THE PLAYLIST na nini alichozungumza kuhusu muziki wake, wasanii wapya waliopo na kuhusu mipango yake ya kimuziki. Pia utasikia ni wimbo gani ambao aliupa heshima ya juu na kusema kuwa ni wimbo bora wa kushrikiana uliowai kutokea katika Muziki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof Jay: Najivunia kiwango

MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Professa Jay’, amesema ukilisoma soko la muziki hupati shida katika tasnia hiyo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Professa Jay alisema...

 

11 years ago

GPL

BI MWENDA AMZIMIKA PROF. JAY

Stori: Gabriel Ng’osha NAKUKUBALI! Mkongwe kwenye soko la filamu za Kibongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amefunguka kuwa anamzimika kinomanoma mkali wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule ‘Prof Jay’ kutokana na tungo zake mahiri. Profesa Jay katika pozi. Bi Mwenda aliitoa kauli hiyo Jumatano iliyopita katika hafla ya Uzinduzi wa Global TV Online iliyofanyika katika Ofisi za Global Publishers,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani