Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa
MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A1NfACf-qds/Vo0Sdu9CH0I/AAAAAAADEkU/0QeMUPJnrzk/s72-c/images.png)
TRA KUPAMBANA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII
![](http://3.bp.blogspot.com/-A1NfACf-qds/Vo0Sdu9CH0I/AAAAAAADEkU/0QeMUPJnrzk/s640/images.png)
Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema itaendelea kupambana na wale wote watakaogundulika kwa wizi wa kazi za sanaa.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari na kueleza kuwa wapo katika operesheni ya kukamata wezi wa kazi za sanaa .
"Ipo kamati ambayo inajumuisha wadau kama Bodi ya Filamu, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na COSOTA ikishirikiana na Jeshi la Polisi katika...
9 years ago
Bongo509 Nov
Lollypop adai bado hajaifanya kazi ya kuandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi
![Lollipop](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/Lollipop-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki na mtunzi wa nyimbo, Lollypop, amesema bado hajaamua kuifanya kazi ya kuwaandikia wasanii nyimbo kuwa rasmi.
Akizungumza katika kipindi cha 5T40 cha Radio 5 ya Arusha, Lollypop alisema wasanii wengi aliofanya nao kazi ni watu wake wa karibu.
“Mimi kuandika kwanza sio kazi official, huwa naandika kuna situation zinatokea na zinanibidi niandike na naandika na watu ambao tuko close sana,” alisema. “Haitokeagi tu nakaa naanza kuandika nyimbo mtu anakuja ananilipa...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Kandoro alia na wizi kwa njia ya mitandao
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Prof Tibaijuka alia na riba kubwa za benki
9 years ago
TheCitizen04 Sep
Prof Jay says he will be a candidate in TZ elections
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsulLne-nqyWPCLRO0jS4avQATArh3nuUpLGVHkhW1epFAwh95ZPx8LCXJjF9HWYYq5VPwXLhkQp93eA*mdz*giw*/PROFJAYTHEPLAYLISTHULK.jpg?width=650)
AUDIO: THE PLAYLIST NA PROF JAY
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Prof Jay: Najivunia kiwango
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Professa Jay’, amesema ukilisoma soko la muziki hupati shida katika tasnia hiyo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Professa Jay alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2Pj4tvPwEpEtuohno8HnzfCiRm5cLs498Z4ytjd7VazG8HmQZoEqGMn5xhNLQp0doVIUfj9J3uiJFCuWIMYwGi8/bimwenda1.jpg?width=650)
BI MWENDA AMZIMIKA PROF. JAY