Wanahabari wametimiza bado Serikali
Vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), vimeendelea kufanyika nchini. Ndani ya kipindi cha siku 50 watoto wawili albino wametekwa, Yohana Bahati aliyetekwa mkoani Geita na Pendo Emmanuel aliyetekwa mkoani Mwanza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Wagiriki Wametimiza Ndoto ya Nyerere
JUMAMOSI ya Julai 4, 2015, tulikuwa katika mabishano makali kwa njia ya barua-pepe.
Sabatho Nyamsenda
10 years ago
Mwananchi28 Jun
MAONI : Hongera Serikali kusikiliza wanahabari
11 years ago
Dewji Blog03 May
Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania
SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.
Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
MSEMAJI WA SERIKALI: Wanahabari zingatieni miiko na maadili ya taaluma kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25
Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mapema leo Oktoba 22.2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO. Anayeshuhudia kushoto ni afisa wa Idara hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[ILALA-DAR ES SALAAM] Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo, Assah Mwambene amekutana na wanahabari mbalimbali mapema leo na kuwapa elimu juu ya kuzingatia maadili na misingi ya uandishi wa Habari...
11 years ago
Mwananchi16 May
Serikali bado haijaruhusu kuagiza kuku
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Mnyika: Uchaguzi serikali za mitaa bado
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema-Bara), John Mnyika, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuwapotosha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekwishafanyika na viongozi wake...
10 years ago
Bongo527 Feb
AT: Wasanii bado tunahitaji support ya serikali
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Serikali yampa baraka Samatta, bado Mazembe
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, amepata baraka kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, huku akisubiri ruhusa na baraka za aina hiyo kutoka kwa viongozi na mabosi wa klabu yake ya TP Mazembe ili aweze kujiunga kuichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
Samatta aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, mara baada ya kumaliza mazungumzo na Waziri huyo...
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali bado haijatoa Sh.143 bil Kigamboni