Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanahabari wametimiza bado Serikali

Vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), vimeendelea kufanyika nchini. Ndani ya kipindi cha siku 50 watoto wawili albino wametekwa, Yohana Bahati aliyetekwa mkoani Geita na Pendo Emmanuel aliyetekwa mkoani Mwanza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Wagiriki Wametimiza Ndoto ya Nyerere

JUMAMOSI ya Julai 4, 2015, tulikuwa katika mabishano makali kwa njia ya barua-pepe.

Sabatho Nyamsenda

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Serikali kusikiliza wanahabari

Juzi Serikali ilikubali kuundoa Muswada wa Sheria ya Upatikanaji Habari ya 2015 ili upelekwe kwa wadau kwa lengo la kuujadili na kukubaliana katika vipengele ambavyo wameviona vina matatizo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa

_MG_0836

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi  ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.

Hayo yamesemwa jana  jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

MSEMAJI WA SERIKALI: Wanahabari zingatieni miiko na maadili ya taaluma kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu Okt 25

DSC_4163

Mkurugenzi Idara ya Habari, Assah Mwambene (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (Hawapo pichani) mapema leo Oktoba 22.2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO. Anayeshuhudia kushoto ni afisa wa Idara hiyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[ILALA-DAR ES SALAAM] Mkurugenzi wa Idara Habari Maelezo,  Assah Mwambene  amekutana na wanahabari mbalimbali mapema leo na kuwapa elimu juu ya kuzingatia maadili na misingi ya uandishi wa Habari...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali bado haijaruhusu kuagiza kuku

>Serikali imesisitiza uamuzi wake wa kupiga marufuku uingizwaji nchini wa kuku, nyama ya kuku na vifaranga ili kudhibiti ugonjwa ya mafua ya ndege na kulinda wawekezaji wa ndani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Uchaguzi serikali za mitaa bado

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema-Bara), John Mnyika, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuwapotosha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekwishafanyika na viongozi wake...

 

10 years ago

Bongo5

AT: Wasanii bado tunahitaji support ya serikali

Staa wa muziki wa mduara nchini, AT, amesema anaona bado kuna umuhimu mkubwa wa serikali kutoa support kwaajili ya kuwatangaza wasanii na kazi zao nje ya nchi kutokana na utajiri mkubwa na utofauti wa muziki wa Tanzania. AT ametoa wito huo kupitia kipindi cha E-Newz cha EATV. “Unajua kama ambavyo Rais alivyoweza kuonesha support kwa […]

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yampa baraka Samatta, bado Mazembe

 

napeNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta, amepata  baraka kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, huku akisubiri ruhusa na baraka za aina hiyo kutoka kwa viongozi na mabosi wa klabu yake ya TP Mazembe ili aweze kujiunga kuichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.

Samatta aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, mara baada ya kumaliza mazungumzo na Waziri huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali bado haijatoa Sh.143 bil Kigamboni

Serikali imeingia kwenye lawama ikidaiwa kukwamisha kasi ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutokana na kushindwa kutoa Sh.143.5 bilioni sawa na asilimia 40 ya fedha za mradi huo hadi kukamilika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani