Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali bado haijatoa Sh.143 bil Kigamboni

Serikali imeingia kwenye lawama ikidaiwa kukwamisha kasi ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutokana na kushindwa kutoa Sh.143.5 bilioni sawa na asilimia 40 ya fedha za mradi huo hadi kukamilika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERIKALI HAIJATOA TAMKO LA KUTOWALIPA MAKOCHA WA TAIFA STARS


Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inakanusha taarifa zilizoandikwa katika gazeti la Mwananchi la tarehe 24.12.2015 yenye kichwa cha habari “JPM kutolipa makocha Stars”.


Serikali  kupitia Wizara inayohusika na michezo haijatoa tamko  la kutowalipa makocha wanaofundisha timu ya Taifa Stars kama ilivyoripotiwa na gazeti hilo.


Suala la malipo ya makocha wa Taifa Stars linashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Serikali, pindi maamuzi yatapofikiwa, serikali itatoa maelekezo...

 

10 years ago

Habarileo

Taasisi za serikali zadaiwa bil.20/-

 Naibu Waziri wa Maji, Amos MakallaTAASISI mbalimbali za serikali nchini zinadaiwa jumla ya Sh bilioni 20 ikiwa ni malimbikizo ya madeni ya huduma ya maji, Bunge limefahamishwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ‘yapiga’ bil. 3/- za Serikali

KAMPUNI ya Erolink imeiibia serikali kiasi cha sh bilioni tatu za mapato kutoka kwa waajiriwa wapya katika kipindi cha miaka mitatu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yapeleka Sh bil 18 za elimu

simbachaweneNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

SERIKALI imepanga kupeleka Sh bilioni 18.77 kila mwezi kwa ajili ya kugharimia elimu bure kuanzia Januari, mwakani.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene alisema fedha hizo zitapelekwa kwa awamu ili zitumike kama ilivyokusudiwa.

Alisema katika mpango huo, Serikali itagharimia gharama zote za  mtihani wa kidato cha nne kwa wanafunzi wote, tofauti na...

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yalipa walimu bil 1.9/-

Asifiwe George na Imani Nathaniel (RCT), Dar es Salaam

CHAMA cha Walimu Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema Serikali imeanza kulipa deni la madai ya walimu kiasi cha Sh 1,936,572,146.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CWT wa mkoa huo, Amina Kisenge, alisema kwa kipindi cha  kuanzia mwaka 2013 hadi Julai 2015 walikuwa wanaidai Serikali kiasi cha Sh 3,916,432,471.

Alisema kwa sasa deni lililobaki ni Sh  1,979,860,325 ambazo bado walimu wanadai.

Alisema pamoja na...

 

11 years ago

Habarileo

Ubelgiji yaipatia Serikali bil.40/-

SERIKALI imepokea msaada wa Sh bilioni 40 kutoka Serikali ya Ubelgiji kusaidia sekta ya kilimo na maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yapatiwa bil. 108/-

TANZANIA imepokea msaada wa dola za Kimarekani milioni 66.1 (sawa na sh. bilioni 108.5) kutoka kwa wadau wa maendeleo, zitakazotumika kuboresha sekta ya afya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete asafiri kilometa 143 kwa treni

RAIS Jakaya Kikwete juzi aliweka historia nyingine katika ziara yake ya Mkoa wa Morogoro wakati aliposafiri kwa treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ikiwa ni mara yake ya kwanza kutumia usafiri huo katika kipindi chake cha Urais.

 

11 years ago

Habarileo

Taasisi za Serikali zadaiwa bil.10/-za maji

Profesa Jumanne MaghembeTAASISI mbalimbali za Serikali, ikiwemo hospitali, majeshi na magereza, zinadaiwa na mamlaka za maji nchini zaidi ya Sh bilioni 10 ambazo ni malimbikizo ya ankara za maji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani