Taasisi za serikali zadaiwa bil.20/-
TAASISI mbalimbali za serikali nchini zinadaiwa jumla ya Sh bilioni 20 ikiwa ni malimbikizo ya madeni ya huduma ya maji, Bunge limefahamishwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jan
Taasisi za Serikali zadaiwa bil.10/-za maji
TAASISI mbalimbali za Serikali, ikiwemo hospitali, majeshi na magereza, zinadaiwa na mamlaka za maji nchini zaidi ya Sh bilioni 10 ambazo ni malimbikizo ya ankara za maji.
10 years ago
Habarileo25 Aug
Taasisi Benjamin Mkapa yakusanya bil. 1/-
TAASISI ya Benjamini Mkapa HIV/AIDS Foundation (BMAF) imekusanya zaidi ya Sh bilioni 1.3 ikiwa ni fedha taslimu pamoja na ahadi katika harambee iliyofanyika jijini hapa kwa ajili ya mradi wa kuimarisha huduma za afya.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Em7E6qBDNio/VY0csDkUXCI/AAAAAAAHkLY/USHfJ0pGEJk/s72-c/IMG_3103.jpg)
SOLUTION BLOCKS YAANDAA MIKUTANO ILI KUKUTANISHA NGO’S,TAASISI ZA KIRAIA NA TAASISI ZA SERIKALI KWA KILA MWENZI.
KAMPUNI ya Solution BLOCKS ikishirikiana na kampuni ya Anglo Gold Ashanti waandaa mkutano wa Alhamisi ya kila mwezi ili kushirikisha taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali kuzungumzia kuchangia katika maendeleo katika jamii.
Hayo yamesemwa na Makamo wa Rais wa Sustainability Aglo Gold Ashanti, Simon Shayo katika ufunguzi wa mkutano ambao umejulikana kwa jina la THURSDAY TALK uliofanyika katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HDqi6jKuNFc/VXqsw21DzhI/AAAAAAAC6Z4/JFK1sTUgsb4/s72-c/898.jpg)
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YAWAONYA WATENDAJI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE
Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Idara ya upigaji chapa na Mpiga chapa Mkuu wa Serikali baada ya kuangalia utendaji kazi wa fanyakazi hao katika sehemu mbali mbali za Kiwandi hicho hapo...
9 years ago
MichuziSerikali yaendelea kuimarisha ukaguzi wa Ndani Wizara na Taasisi za Serikali
9 years ago
Mtanzania14 Nov
Serikali yalipa walimu bil 1.9/-
Asifiwe George na Imani Nathaniel (RCT), Dar es Salaam
CHAMA cha Walimu Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam, kimesema Serikali imeanza kulipa deni la madai ya walimu kiasi cha Sh 1,936,572,146.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CWT wa mkoa huo, Amina Kisenge, alisema kwa kipindi cha kuanzia mwaka 2013 hadi Julai 2015 walikuwa wanaidai Serikali kiasi cha Sh 3,916,432,471.
Alisema kwa sasa deni lililobaki ni Sh 1,979,860,325 ambazo bado walimu wanadai.
Alisema pamoja na...
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Serikali yapeleka Sh bil 18 za elimu
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
SERIKALI imepanga kupeleka Sh bilioni 18.77 kila mwezi kwa ajili ya kugharimia elimu bure kuanzia Januari, mwakani.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene alisema fedha hizo zitapelekwa kwa awamu ili zitumike kama ilivyokusudiwa.
Alisema katika mpango huo, Serikali itagharimia gharama zote za mtihani wa kidato cha nne kwa wanafunzi wote, tofauti na...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Ubelgiji yaipatia Serikali bil.40/-
SERIKALI imepokea msaada wa Sh bilioni 40 kutoka Serikali ya Ubelgiji kusaidia sekta ya kilimo na maji.
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Serikali yapatiwa bil. 108/-
TANZANIA imepokea msaada wa dola za Kimarekani milioni 66.1 (sawa na sh. bilioni 108.5) kutoka kwa wadau wa maendeleo, zitakazotumika kuboresha sekta ya afya. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...