SERIKALI HAIJATOA TAMKO LA KUTOWALIPA MAKOCHA WA TAIFA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-ht7TeLHskiM/VnxDdeScU3I/AAAAAAAIOXQ/_s2BEweo_lw/s72-c/dar.png)
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inakanusha taarifa zilizoandikwa katika gazeti la Mwananchi la tarehe 24.12.2015 yenye kichwa cha habari “JPM kutolipa makocha Stars”.
Serikali kupitia Wizara inayohusika na michezo haijatoa tamko la kutowalipa makocha wanaofundisha timu ya Taifa Stars kama ilivyoripotiwa na gazeti hilo.
Suala la malipo ya makocha wa Taifa Stars linashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Serikali, pindi maamuzi yatapofikiwa, serikali itatoa maelekezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Taifa Stars : Tatizo ni makocha au wachezaji?
Itakumbukwa Agosti 26,1979 Taifa Stars ilikuwa ikihitaji sare ya aina yoyote dhidi ya Zambia ili ifuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza tangu ilipoanza kushiriki mwaka 1968.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Makocha 40 wasaka vipaji Taifa Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeteua jopo la makocha wazawa 40 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar kung’amua vipaji katika mkakati wake wa kuboresha timu ya taifa, Taifa Stars....
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Serikali bado haijatoa Sh.143 bil Kigamboni
Serikali imeingia kwenye lawama ikidaiwa kukwamisha kasi ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutokana na kushindwa kutoa Sh.143.5 bilioni sawa na asilimia 40 ya fedha za mradi huo hadi kukamilika.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
JPM kutolipa makocha Stars
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litalazimika kutafuta vyanzo vipya vya mapato yake ili kumlipa kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwassa baada ya Serikali kueleza kuwa hakuna ulazima wa kuendelea na utaratibu wa kuwalipa makocha wa timu za Taifa katika uongozi wa awamu ya tano.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Makocha waipa neno beki ya Stars
Makocha Mecky Mexime, Fred Minziro na Jackson Mayanja wamebainisha matatizo makuu matatu yanayoisumbua safu ya ulinzi ya timu ya taifa (Taifa Stars), ambayo yanaweza kuwagharimu katika harakati za kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
TFF tunahitaji makocha wa timu za Taifa
Mwishoni mwa mwezi Februari, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilivunja mkataba na kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen na kukikabidhi kikosi cha Stars kwa muda chini ya mMkurugenzi wa uUfundi wa TFF, Salum Madadi akisaidiwa na kocha Hafidh Badru kutoka Zanzibar.
10 years ago
GPLMAKOCHA WACHAGUA VIJANA KUSHIRIKI MICHUANO YA TAIFA U-12
Mwamuzi akiwakagua wachezaji. Kikosi cha timu ya Villa Kids kikiwa katika pozi.…
11 years ago
GPL24 Apr
UZINDUZI WA MAFUNZO YA AIRTEL RISING STARS YANAYOONGOZWA NA MAKOCHA WA MANCHESTER UNITED YAFANA
UZINDUZI wa klinic ya mafunzo ya soka ya Airtel Rising Stars yanayofanywa na makocha wa Manchester United Soccer School jana ilizinduliwa rasmi nchini Tanzania pale Azam Complex Chamanzi na kushirikisha wachezaji 72 kutoka nchi 12 za Afrika.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania