JPM kutolipa makocha Stars
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litalazimika kutafuta vyanzo vipya vya mapato yake ili kumlipa kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwassa baada ya Serikali kueleza kuwa hakuna ulazima wa kuendelea na utaratibu wa kuwalipa makocha wa timu za Taifa katika uongozi wa awamu ya tano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Makocha 40 wasaka vipaji Taifa Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeteua jopo la makocha wazawa 40 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar kung’amua vipaji katika mkakati wake wa kuboresha timu ya taifa, Taifa Stars....
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Makocha waipa neno beki ya Stars
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Taifa Stars : Tatizo ni makocha au wachezaji?
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ht7TeLHskiM/VnxDdeScU3I/AAAAAAAIOXQ/_s2BEweo_lw/s72-c/dar.png)
SERIKALI HAIJATOA TAMKO LA KUTOWALIPA MAKOCHA WA TAIFA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-ht7TeLHskiM/VnxDdeScU3I/AAAAAAAIOXQ/_s2BEweo_lw/s640/dar.png)
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inakanusha taarifa zilizoandikwa katika gazeti la Mwananchi la tarehe 24.12.2015 yenye kichwa cha habari “JPM kutolipa makocha Stars”.
Serikali kupitia Wizara inayohusika na michezo haijatoa tamko la kutowalipa makocha wanaofundisha timu ya Taifa Stars kama ilivyoripotiwa na gazeti hilo.
Suala la malipo ya makocha wa Taifa Stars linashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Serikali, pindi maamuzi yatapofikiwa, serikali itatoa maelekezo...
11 years ago
GPL24 Apr
UZINDUZI WA MAFUNZO YA AIRTEL RISING STARS YANAYOONGOZWA NA MAKOCHA WA MANCHESTER UNITED YAFANA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s1600/unnamed+(24).jpg)
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Serena Hotel yazushiwa kutolipa kodi
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM.
HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.
Tetesi hizo zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii jana asubuhi, zikieleza kuwa maofisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) wameifunga hoteli kufunga kwa kukwepa kuliko kodi serikalini.
Mbali ya kusambazwa kwa uvumi huo, zilitumwa pia picha zilizokuwa zikionyesha sehemu ya...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwekezaji adaiwa kutolipa mishahara ya wafanyakazi
11 years ago
Habarileo11 Dec
Serikali yakiri kutolipa posho ya mazingira magumu
BUNGE limeelezwa kuwa fedha za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu, hawakupewa. Hatua hiyo imeelezwa kutokana na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kubaini kuwa walimu walioripoti katika halmashahuri hizo miaka iliyopita hawakupatiwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa katika Bunge la Bajeti la 2013/14.