Serena Hotel yazushiwa kutolipa kodi
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM.
HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.
Tetesi hizo zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii jana asubuhi, zikieleza kuwa maofisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) wameifunga hoteli kufunga kwa kukwepa kuliko kodi serikalini.
Mbali ya kusambazwa kwa uvumi huo, zilitumwa pia picha zilizokuwa zikionyesha sehemu ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s72-c/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
![](https://4.bp.blogspot.com/-X5RGQ-FX9SE/U8lfIZDX18I/AAAAAAACzFM/YYTXfOak2oc/s1600/NAURA+SPRING.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s1600/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 May
Hospitali ya AMI kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu
Na Mwandishi Wetu
Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imeamuru kufurushwa kwenye jengo hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za kimarekani milioni 1.6 (zaidi ya Shilingi Bilioni tatu za Kitanzania).
Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw....
10 years ago
Michuzi11 May
Hospitali ya AMI hatarini kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu
Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw. Navtej Singh...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EUe-77IuvA4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wmUKWl7yk6U/Va-kLE4JZ3I/AAAAAAAHrF8/yVvH2CgQ8kI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/EUe-77IuvA4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-turLpmImleY/VJMN5Jo6LhI/AAAAAAAG4Qc/s-MoRVH1nr8/s72-c/unnamed%2B(77).jpg)
Lake Duluti Serena Hotel yatoa zawadi kwa watoto yatima
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GVsbJxGrVaQ/VkoSZpyxk4I/AAAAAAAIGPw/ryxIyy356JY/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Aug