Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha

Zile habari zilizosambaa kwenye mitandao  ya kijamii  kuonesha  kwamba hotel ya Naura Spring ya jijini Arusha inawaka moto zilikuwa si za kweli ni watu wametengeza picha hizo ambazo zilikuwa zimeenea kila pembe.Kamanda wa Polisi Arusha Liberatus Sabas ameongea jioni hii na vyombo vya habari na kukanusha habari za hotel hiyo ya kitalii jijini Arusha kwamba iliwaka moto hizo ni picha za kutengeneza hotel ipo salama kabisa kama unavyoona kwenye picha ya juu. Picha ya chini yake ndiyo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UONGOZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS WAKANUSHA TAARIFA ZA KUWAKA MOTO KWA HOTEL HIYO

SEHEMU YA JENGO LA HOTEL HIYO LIONEKAVYO KWA NJE.MENEJA WA HOTEL HIYO BI.BEATRICE DALLARIS AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI,JUU YA  TAARIFA ZA UZUSHI ZILIZOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO YA KIJAMI KUWA HOTEL HIYO IMEUNGUA MOTO MAPEMA LEO JIJINI ARUSHA.
UTAWALA NA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS IMESIKITISHWA KWA TAARIFA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII KUHUSU KUWA HOTELI YETU INAWAKA MOTO NA KUSABABISHA USUMBUFU MKUBWA KWA WATU WA MKOA WETU, NDUGU NA JAMAA WA WAFANYAKAZI WA...

 

5 years ago

CCM Blog

MAMA MKOANI KATAVI AMEAGA DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO

Wananchi wa Kijiji cha Kasekese Mkoa wa Katavi wasaidi kuzima moto uliodaiwa kuwa kuna mpangaji moja (jina tumelihifadhi) aliyekuwa akiandaa kupika chakula huku chumbani humo kukiwa na mafuta ya petroli kwa maandalizi ya kwendanayo shambani alipokuwa anatarajia kuamkia huko shambani kwake.

Katika nyumba hiyo yenye vyumba tisa vya wapangaji nyumba ya bwana Visent Emanuel ambapo chanzo cha habari kilichotufikia Juni 3, 2020, Mpangaji huyo alitoka nje kujiokoa na baada ya kutoa vyombo lakini...

 

10 years ago

Habarileo

Uwekezaji Mtwara wapamba moto

UKUAJI wa uchumi na mabadiliko ya maisha ya wakazi wa Mkoa wa Mtwara unaotokana na ugunduzi wa gesi asilia, unaanza kuwa dhahiri baada ya Kampuni ya Dangote Industries Limited, kuomba kibali cha kufua umeme wake wa megawati (MW) 75.

 

11 years ago

Bongo5

Habari ya Moto hoteli ya Naura Springs Arusha yaigeuza July 18 remix ya April 1!!

Katika ulimwengu huu huru wa mitandao ya kijamii usiamini kila kitu unachokiona kimeandikwa. Hata kama kikiwa na picha inayoyashawishi macho yako kuamini, chunguza kwanza kwa muda wako kabla ya kuthibitisha uhalali wa kile ukionacho. Muonekano wa hoteli ya Naura Springs ya Arusha Na kwa wenye fani ya uandishi wa habari, kama ni tukio linalohusu majanga, […]

 

9 years ago

Michuzi

WATU SABA WAFARIKI DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO NA WENGINE KUMI WAJERUHIWA

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma Ferdnand Mtui  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) juu ya ajali ya moto iliyotokea Mkoani Kigoma. Majeruhi wakiendelea kupatiwa huduma katika wodi namba saba hospitali ya Mkoa wa Kigoma. Majeruhi wakiendelea kupatiwa huduma ya matibabu katika wodi namba saba hospitali ya Mkoa wa Kigoma.
                                               Na Editha Karlo wa blog wa jamii,Kigoma
WATU saba wamefariki duniani na wengine kumi wamejeruhiwa katika ajali...

 

11 years ago

Mwananchi

Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo

Nauli za mabasi ya mikoani na nchi jirani zimeendelea kupanda, na sasa Mikoa ya Iringa na Tanga nayo imeguswa na ongezeko hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgomo mwengine wapamba moto A Kusini

Wachimba migodi wakataa pendekezo jipya la nyongeza ya mishahara Afrika Kusini na watishia kuzidisha mgomo

 

10 years ago

Habarileo

Udhibiti vifo vya mama wapamba moto Rukwa

MKAKATI wa kudhibiti vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua umepamba moto mkoani Rukwa, kutokana na jamii, watendaji, viongozi wa kisiasa kubanwa wakitakiwa kuhakikisha katika maeneo hakitokei kifo.

 

10 years ago

Michuzi

msako wa KARAFUU CHAFU kisiwani PEMBA wapamba moto

 Afisa mdhamini shirika la biashara la taifa Zanzibar ZSTC Pemba Abdalla Ali Ussi (kulia), akiwa na mkulima wa zao la karafuu Khatib Suleiman Amour, ambae anadaiwa kuchanganya karafuu na makonyo na kugundulika na watendaji wa ZSTC wa Finya, wilaya ya Micheweni  Mpimaji wa karafuu wa kituo cha mauzo ya zao hilo, Wete Pemba,  Kitwana Salim Kitwana, akipima karafuu hizo kituoni hapo.  Wananchi waliokodi shamba la mikarafuu la serikali eneo la Makuwe wilaya ya Micheweni Pemba, ambao kwa sasa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani