Habari ya Moto hoteli ya Naura Springs Arusha yaigeuza July 18 remix ya April 1!!
Katika ulimwengu huu huru wa mitandao ya kijamii usiamini kila kitu unachokiona kimeandikwa. Hata kama kikiwa na picha inayoyashawishi macho yako kuamini, chunguza kwanza kwa muda wako kabla ya kuthibitisha uhalali wa kile ukionacho. Muonekano wa hoteli ya Naura Springs ya Arusha Na kwa wenye fani ya uandishi wa habari, kama ni tukio linalohusu majanga, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8eK4PLKJbuQ/U8mJMT3fIpI/AAAAAAAClvI/M67D6LiOan4/s72-c/naura-spring-hotel.jpg)
UONGOZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS WAKANUSHA TAARIFA ZA KUWAKA MOTO KWA HOTEL HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8eK4PLKJbuQ/U8mJMT3fIpI/AAAAAAAClvI/M67D6LiOan4/s1600/naura-spring-hotel.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VFLqEoEpSg/U8mKOCwmglI/AAAAAAAClvU/djPCOL6CU_0/s1600/10553427_779040725481742_6454809718669346452_n.jpg)
UTAWALA NA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS IMESIKITISHWA KWA TAARIFA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII KUHUSU KUWA HOTELI YETU INAWAKA MOTO NA KUSABABISHA USUMBUFU MKUBWA KWA WATU WA MKOA WETU, NDUGU NA JAMAA WA WAFANYAKAZI WA...
10 years ago
Michuzi21 Jan
NHC yaendesha kongamano la Mameneja wa Mikoa na Watendaji wake katika hoteli ya Naura Springs, Arusha.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s72-c/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
![](https://4.bp.blogspot.com/-X5RGQ-FX9SE/U8lfIZDX18I/AAAAAAACzFM/YYTXfOak2oc/s1600/NAURA+SPRING.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s1600/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AJIONEA HITILAFU YA MTAMBO WA MAJI MOTO HOTELI YA NEW AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
10 years ago
Habarileo16 Feb
Moto wateketeza hoteli mbili za kitalii
WAMILIKI wa hoteli za kitalii ziliopo Zanzibar, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuimarisha huduma za zimamoto ziliopo mikoani ili kupambana na matukio na majanga ya moto.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NgqZdWHgAXM/VZOA2kSAY7I/AAAAAAAHmEc/C3phA-7_XDI/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY
![](http://1.bp.blogspot.com/-NgqZdWHgAXM/VZOA2kSAY7I/AAAAAAAHmEc/C3phA-7_XDI/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/XSWlXTwLGjk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/wDI-QI2-ZMQ/default.jpg)
KHADIJA KOPA KUWASHA MOTO LONDON,NI JUMAMOSI YA 18 JULY 2015
Khadija kopa Kuwasha moto Siku ya Eid London ni Jumamosi 18/07/2015 ndani ya Ukumbi wa La royare Banquet Suites London 819 -821 High Road Nunua Tickeck yako Mapema kuepuka usumbufu Mlangoni bonyeza link hii kununua https://www.tickettailor.com/checkout/view-event/id/29235/chk/9a14 Show hii imeletwa kwenu na Bongodeejays Events kwa Maelezo zaidi na ticket Booking piga namba hizi +447853482158/+447931526622 /+447421167123 au tembelea link zifuatazo kwa habari...