Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA

Na Mwandishi Wetu,Michuzi Globu ya jamii

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.

Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo  ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

HOTELI YAFUNGWA ARUSHA ILIYOPATIKANA NA MGOJWA VIRUSI VYA CORONA


   Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.


Akizungumza  Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo  ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo mgonjwa alishuka jana  katika Uwanja wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Kila anayekufa sio mgonjwa wa corona' asema Magufuli

Watanzania wengi wanatakiwa kuhamasishwa kuhusu ugonjwa corona

 

5 years ago

CCM Blog

DIAMONDIAKABIDHI KWA SERIKALI HOTELI YAKE ITUMIKE KUHUDUMIA WAGONJWA WA CORONA

Staa wa muziki nchini Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz  ametoa ruhusa kwa serikali kuitumia hoteli yake mpya aliyoinunua kama hospitali ya kuhudumia wagonjwa wa corona au kama karantini.
Diamond amesema hayo leo ikiwa ni siku mbili baada kutangaza kuwalipia nyumba watu 500 ili kuondokana na adha ya kodi katika kipindi hiki cha maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.
“Misukumo ya kusaidia watu, imetokana na malezi niliyolelewa, maisha niliyotokea na historia yangu ya nyuma. Nikikumbuka...

 

11 years ago

CloudsFM

KITU KINACHOSADIKIWA NI BOMU CHALIPUKA ARUSHA, JIRANI NA HOTELI YA MOUNT MERU

Kitu kinachosadikiwa ni bomu kimelipuka na inasemekana watu wamefariki dunia katika mgahawa wa Wama uliopo maeneo ya Gymkhana jijini Arusha. Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia leo na kusababisha watu zaidi ya 8 kujeruhiwa vibaya, idadi ya waliopoteza maisha bado haijajulikana, majeruhi wote wamepelekwa katika hospitali ya Seliani jijini Arusha.Jeshi la Wananchi likishirikiana na Jeshi la Polisi wanachunguza chanzo cha bomu hilo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Maafisa Nigeria wavunja hoteli kudhibiti maambukizi ya Covid-19

The managers of the two hotels in southern Nigeria's Rivers state deny that they broke the rules.

 

11 years ago

Bongo5

Habari ya Moto hoteli ya Naura Springs Arusha yaigeuza July 18 remix ya April 1!!

Katika ulimwengu huu huru wa mitandao ya kijamii usiamini kila kitu unachokiona kimeandikwa. Hata kama kikiwa na picha inayoyashawishi macho yako kuamini, chunguza kwanza kwa muda wako kabla ya kuthibitisha uhalali wa kile ukionacho. Muonekano wa hoteli ya Naura Springs ya Arusha Na kwa wenye fani ya uandishi wa habari, kama ni tukio linalohusu majanga, […]

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAKO CHA BARAZA LA UONGOZI WA KANDA YA KASKAZINI -KATIKA HOTELI YA THE NEW ARUSHA HOTEL

  Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman A.Mbowe akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Mhe Israel Natse wakiwa wanaingia ukumbi wa JUMUIKA  Viongozi wa kuu wa Chadema Taifa pamoja na Kanda wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kikao cha baraza la kanda ya kaskazini kuanza
  Waheshimiwa wabunge wakiwa wanaimba wimbo wa Taifa  Katibu wa Kanda ya kaskazini Mhe Amani Golugwa akiwakaribisha wajumbe wa kikao cha baraza la Kanda ya Kaskazini , wajumbe wa kikao wametoka katika majimbo 33...

 

5 years ago

Michuzi

KINONDONI YAPULIZA DAWA HOTELI ZA KITALII KUDHIBITI CORONA KWA KUTUMIA MAGARI YA ZIMAMOTO

Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni imeendelea kupambana vikali kuthibiti kuenea kwa virusi vya COVID 19 (Corona) kwa kupuliza dawa katika hotel za kitalii zilizopo katika Halmashauri hiyo.

Hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati uliowekwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Daniel Chongolo, Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, Mstahiki Meya Benjamini Sitta, pamoja na Mganga mkuu Samweli Laizar kwa pamoja, katika kuhakikisha kuwa maambukizi ya Virus hivyo hayasambai kwa wananchi na hivyo wanaendelea kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zinduka Mwanamke yaanda Fashion Show jijini Arusha katika hoteli ya kitalii ya Snow Crest

unnamed (2)

Magwiji wa ubunifu wa nguo na wataalamu wa ushauri wa ngozi wanapenda kuwataarifu wakazi wa jiji la Arusha kuwa tarehe 9/8/2015 kutakuwa na uzinduzi wa tawi la Duka la Vipodozi la Flora Show itakayofanyika siku ya Jumamosi katika hoteli ya kitalii ya Snown Crest

Katika uzinduzi huo pia utapambwa na show ya kukata na shoka ambapo magwiji wa ubunifu wa Mavazi watonyesha mavazi ya aina mbalimbali ikiwemo ya harusi ,vazi la harusi ya kimaasai pamoja na vazi lililompa ushindi Saida Kesy

Mtaalamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani