KIKAKO CHA BARAZA LA UONGOZI WA KANDA YA KASKAZINI -KATIKA HOTELI YA THE NEW ARUSHA HOTEL
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mhe Freeman A.Mbowe akiwa ameambatana na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Mhe Israel Natse wakiwa wanaingia ukumbi wa JUMUIKA
Viongozi wa kuu wa Chadema Taifa pamoja na Kanda wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kikao cha baraza la kanda ya kaskazini kuanza
Waheshimiwa wabunge wakiwa wanaimba wimbo wa Taifa
Katibu wa Kanda ya kaskazini Mhe Amani Golugwa akiwakaribisha wajumbe wa kikao cha baraza la Kanda ya Kaskazini , wajumbe wa kikao wametoka katika majimbo 33...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8eK4PLKJbuQ/U8mJMT3fIpI/AAAAAAAClvI/M67D6LiOan4/s72-c/naura-spring-hotel.jpg)
UONGOZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS WAKANUSHA TAARIFA ZA KUWAKA MOTO KWA HOTEL HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8eK4PLKJbuQ/U8mJMT3fIpI/AAAAAAAClvI/M67D6LiOan4/s1600/naura-spring-hotel.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VFLqEoEpSg/U8mKOCwmglI/AAAAAAAClvU/djPCOL6CU_0/s1600/10553427_779040725481742_6454809718669346452_n.jpg)
UTAWALA NA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS IMESIKITISHWA KWA TAARIFA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII KUHUSU KUWA HOTELI YETU INAWAKA MOTO NA KUSABABISHA USUMBUFU MKUBWA KWA WATU WA MKOA WETU, NDUGU NA JAMAA WA WAFANYAKAZI WA...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VybbdaYedb8/U8jYNmpv-bI/AAAAAAAF3TM/zpA8vS5meHo/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Mama Asha Suleimani Iddi katika Futari ya Jumuiya Madrasatul Hidayatul Islamia ya Kijiji cha kidoti Wilaya ya Kaskazini “ A” Mkoa wa Kaskazini Unguja
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO KATIKA UKUMBI WA HOTELI YA JD COMPLEX — KIBAHA, PWANI
MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO KATIKA UKUMBI WA HOTELI YA JD COMPLEX – KIBAHA, PWANI.
HOTUBA YA MKUU WA MKOA...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s72-c/IMG-20150917-WA0031.jpg)
BREAKING NEWSSS!!!! UONGOZI WA JUU WA NCCRA-MAGEUZI WAONGEA NA WANAHABARI SASA HIVI KATIKA HOTELI YA LAND MARK JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-O8QviIT6bFk/Vfq_mt0SrhI/AAAAAAAH5lY/TT9TVsj-Dy0/s640/IMG-20150917-WA0031.jpg)
11 years ago
Michuzi10 Aug
KITUO CHA REDIO 5 CHANYAKUA UBINGWA MAONYESHO YA NANE NANE KANDA YA KASKAZINI
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![r1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/JpFR4iGTRQn7y9Ir8OWwEH1T5SMZw3eN2UuWwCKnPfIs_iWZrSKXbrbZDjCX96Hc9zYw_Kk7hEUGQCeWPnKrt2O8NzGPUTh_tbmHHtb8ZnPrlDwC4O-Sag=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/r1.jpg?w=627&h=470)
![b](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/xjLQEHwXi8WcfsOfVDX8lSI75ckohZ742ImrRtyOpa6hpLlo62Fxkcmt7CTqUR43NgGkf1xZE5sfOBNL3KN_FRaxcHwqwH5ZG-X6kwjupI3oO7WK4BpH=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/b.jpg?w=627&h=470)
9 years ago
VijimamboDK SHEIN MGENI RASMIN BARAZA LA EID EL HAJJ UKUMBI WA CHUO CHA AMALI MKOKOTONO MKOA WA KASKAZINI UNGUJA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s72-c/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
RC ARUSHA MRISHO GAMGO ASEMA HOTELI ALIYOPATIKANA MGONJWA WA CORONA IMEIFUNGA, WALIOPO HOTELI WOTE HAKUNA KUTOKA WALA KUINGIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GZHHZUsNTKs/Xm_SYqPBQ1I/AAAAAAALj_g/2oSh7fEC-RkV3JIx4-1WhIPmnaq_ioeywCLcBGAsYHQ/s400/GAMBO%252BPICHAA.jpg)
MKUU wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kwamba ndani ya Mkoa huo amebainika kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona na kwamba hoteli ambayo amekutwa mgonjwa huyo imefungwa na hivyo hakuna anayeingia wala anayetoka.
Akizungumza leo Machi 16 mwaka 2020 , Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo amesema kama ambavyo ameeleza Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ni kweli wamepata mgonjwa mmoja wa Corona na kwa mujibu wa taarifa huyo...
10 years ago
Michuzi21 Jan
NHC yaendesha kongamano la Mameneja wa Mikoa na Watendaji wake katika hoteli ya Naura Springs, Arusha.
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Zinduka Mwanamke yaanda Fashion Show jijini Arusha katika hoteli ya kitalii ya Snow Crest
Magwiji wa ubunifu wa nguo na wataalamu wa ushauri wa ngozi wanapenda kuwataarifu wakazi wa jiji la Arusha kuwa tarehe 9/8/2015 kutakuwa na uzinduzi wa tawi la Duka la Vipodozi la Flora Show itakayofanyika siku ya Jumamosi katika hoteli ya kitalii ya Snown Crest
Katika uzinduzi huo pia utapambwa na show ya kukata na shoka ambapo magwiji wa ubunifu wa Mavazi watonyesha mavazi ya aina mbalimbali ikiwemo ya harusi ,vazi la harusi ya kimaasai pamoja na vazi lililompa ushindi Saida Kesy
Mtaalamu...