Zinduka Mwanamke yaanda Fashion Show jijini Arusha katika hoteli ya kitalii ya Snow Crest
Magwiji wa ubunifu wa nguo na wataalamu wa ushauri wa ngozi wanapenda kuwataarifu wakazi wa jiji la Arusha kuwa tarehe 9/8/2015 kutakuwa na uzinduzi wa tawi la Duka la Vipodozi la Flora Show itakayofanyika siku ya Jumamosi katika hoteli ya kitalii ya Snown Crest
Katika uzinduzi huo pia utapambwa na show ya kukata na shoka ambapo magwiji wa ubunifu wa Mavazi watonyesha mavazi ya aina mbalimbali ikiwemo ya harusi ,vazi la harusi ya kimaasai pamoja na vazi lililompa ushindi Saida Kesy
Mtaalamu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Mmiliki wa hoteli ya Snow Crest aamuriwa kulipa zaidi ya bilioni 3
Picha ya muonekano wa hoteli ya Snow Crest.
Na Mwandishi wetu
Mahakama kuu nchini kitengo cha biashara kanda ya Arusha imemuamuru mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa hoteli ya Snow Crest ya jijini Arusha, Wilfred Tarimo pamoja na familia yake kumlipa jumla ya $ 1.7 sawa na zaidi ya sh,3 bilioni mkurugenzi wa kampuni ya Grand Alliance Ltd, James Ndika kama malipo ya awamu ya kwanza ya kununua hisa ndani ya hoteli hiyo.
Mbali na agizo hilo mahakama hiyo pia imeagiza washtakiwa wanne kati...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s72-c/190.jpg)
BALOZI SEIF AKAGUA ATHARI ZA MOTO KATIKA HOTELI YA KITALII YA KARAFUU BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s1600/190.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UkcJrIo81_o/VTR6YImY8XI/AAAAAAAA7AI/iunpdvGHNYk/s1600/192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y9j168nr0nE/VTR6YO01o7I/AAAAAAAA6_o/109D7Y1lM7A/s1600/199.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nEmKJKmLF9k/VTR6ZDQvpAI/AAAAAAAA6_w/flOd9LCFNpc/s1600/215.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUSuOC5kOUQ/VTR6ZXgu2gI/AAAAAAAA6_0/3B497iXIHdg/s1600/220.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WKoKeSMF0NE/VTR6aVMM42I/AAAAAAAA7AE/AM8DLWEd-qE/s1600/235.jpg)
10 years ago
AllAfrica.Com01 Sep
Court Orders Snow Crest Owner to Pay US $1.7 Million to Dar Businessman
AllAfrica.com
The owner of Snow Crest Hotel in Arusha has been ordered by the High Court to refund $.1.7 million (about Sh. 3 billion) to a person who reportedly purchased the hotel some years ago but later backed out. The Commercial Division of the Court in its ruling ...
10 years ago
MichuziWARSHA KATIKA HOTEL YA GOLD CREST JIJINI MWANZA KWA AJILI KUHAMASISHA NA KUJENGA UWEZO WA KUJUMUISHA MASUALA YA VIJANA KATIKA MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA NA WILAYA
Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Mwanza warsha inafanyika tarehe 8 na 9 Juni 2015, kituo ambacho kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mikoa ya Mwanza,...
10 years ago
VijimamboOFISI YA RAIS YAFANYA WARSHA KATIKA HOTEL YA GOLD CREST JIJINI MWANZA
Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Mwanza warsha inafanyika tarehe 8 na 9 Juni 2015, kituo ambacho kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mikoa ya Mwanza,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Mvwo3olcaEs/VmzxS9PAmZI/AAAAAAAIMBU/HM0Fe8_ocTA/s72-c/h1.jpg)
Tano Bora ya Hoteli za Kitalii Tanzania
Jovago Tanzania, wadau wanaohusika na masuala ya Hoteli kimataifa, wanapenda kukuorodheshea tano bora ya hoteli zilizo kwenye chati ya kukupa mandhari zuri ya kiutalii wa kifahari hapa Tanzania.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mvwo3olcaEs/VmzxS9PAmZI/AAAAAAAIMBU/HM0Fe8_ocTA/s640/h1.jpg)
10 years ago
Habarileo16 Feb
Moto wateketeza hoteli mbili za kitalii
WAMILIKI wa hoteli za kitalii ziliopo Zanzibar, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuimarisha huduma za zimamoto ziliopo mikoani ili kupambana na matukio na majanga ya moto.
10 years ago
Dewji Blog26 Dec
Hoteli ya Giraffe Ocean View yaanda chakula cha mchana kwa watoto yatima na kuwakabidhi zawadi za X-Mass
Watoto wanaolelewa katika Kitu cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, wakiwasili katika eneo la Hoteli ya Giraffe Ocean View, Dar es Salaam juzi baada ya kualikwa kwa ajili ya kupewa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi pamoja na chakula cha mchana. (Na Mpigapicha Wetu).
Watoto wa Kituo cha Yatima cha Tuwapende Watoto cha Bunju, Dar es Salaam, wakijihudumiwa chakula cha mchana juzi kilichoandaliwa na Hoteli ya Giraffe Ocean View iliyopo jijini ambapo pia walipewa zawadi ya mbuzi, mchele na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kY7scJ-8kPE/VXuA8ic3WUI/AAAAAAAHfJM/sb_Jlig6kfI/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Usikose usiku wa ‘Stara Fashion Show’ leo ukumbi wa City garden jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-kY7scJ-8kPE/VXuA8ic3WUI/AAAAAAAHfJM/sb_Jlig6kfI/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Usiku huo umeandaliwa na Kampuni ya ‘Jast Tanzania Limited’ chini...