Tano Bora ya Hoteli za Kitalii Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mvwo3olcaEs/VmzxS9PAmZI/AAAAAAAIMBU/HM0Fe8_ocTA/s72-c/h1.jpg)
Ukiachana na hifadhi za taifa zitakazokufanya usichoke kutembelea miji na mikoa mbali mbali ndani ya Tanzania, ni uwepo wa hoteli za kifahari zenye utofauti wa kipekee na hoteli za nchi nyingine.
Jovago Tanzania, wadau wanaohusika na masuala ya Hoteli kimataifa, wanapenda kukuorodheshea tano bora ya hoteli zilizo kwenye chati ya kukupa mandhari zuri ya kiutalii wa kifahari hapa Tanzania. Manta Resort-Pemba: Ni hoteli ya kipekee yenye chumba cha kulala chini ya bahari ya Hindi. Hoteli hii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Feb
Moto wateketeza hoteli mbili za kitalii
WAMILIKI wa hoteli za kitalii ziliopo Zanzibar, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuimarisha huduma za zimamoto ziliopo mikoani ili kupambana na matukio na majanga ya moto.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s72-c/190.jpg)
BALOZI SEIF AKAGUA ATHARI ZA MOTO KATIKA HOTELI YA KITALII YA KARAFUU BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-un7zod9brvU/VTR6YH8QtTI/AAAAAAAA6_k/mQcqm7h87tk/s1600/190.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UkcJrIo81_o/VTR6YImY8XI/AAAAAAAA7AI/iunpdvGHNYk/s1600/192.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y9j168nr0nE/VTR6YO01o7I/AAAAAAAA6_o/109D7Y1lM7A/s1600/199.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nEmKJKmLF9k/VTR6ZDQvpAI/AAAAAAAA6_w/flOd9LCFNpc/s1600/215.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUSuOC5kOUQ/VTR6ZXgu2gI/AAAAAAAA6_0/3B497iXIHdg/s1600/220.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WKoKeSMF0NE/VTR6aVMM42I/AAAAAAAA7AE/AM8DLWEd-qE/s1600/235.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Rcl26_3Tv_U/XocIwP63-5I/AAAAAAALl5k/HrbMjjTv0S4m_JXwPWInQFGQs0_ah-4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/2e4b49ca-049e-428c-9201-d413b033693c.jpg)
KINONDONI YAPULIZA DAWA HOTELI ZA KITALII KUDHIBITI CORONA KWA KUTUMIA MAGARI YA ZIMAMOTO
Hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati uliowekwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Daniel Chongolo, Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, Mstahiki Meya Benjamini Sitta, pamoja na Mganga mkuu Samweli Laizar kwa pamoja, katika kuhakikisha kuwa maambukizi ya Virus hivyo hayasambai kwa wananchi na hivyo wanaendelea kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wafanyakazi zaidi ya 50 hoteli ya kitalii Ngurdoto waandamana kwa DC Arumeru wakidai malipo yao
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wakiongea mbele ya Mkuu huyo wa wilaya wamedai kuwa pamoja na kutolipwa mishahara yao ,wanadai makato ya mfuko wa kijamii wa nssf yamekuwa hayapelekwi na kupatà usumbufu mkubwa wanapoacha ama kuachishwa kazi .
Madai mengine ni wafanyakazi wa...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Zinduka Mwanamke yaanda Fashion Show jijini Arusha katika hoteli ya kitalii ya Snow Crest
Magwiji wa ubunifu wa nguo na wataalamu wa ushauri wa ngozi wanapenda kuwataarifu wakazi wa jiji la Arusha kuwa tarehe 9/8/2015 kutakuwa na uzinduzi wa tawi la Duka la Vipodozi la Flora Show itakayofanyika siku ya Jumamosi katika hoteli ya kitalii ya Snown Crest
Katika uzinduzi huo pia utapambwa na show ya kukata na shoka ambapo magwiji wa ubunifu wa Mavazi watonyesha mavazi ya aina mbalimbali ikiwemo ya harusi ,vazi la harusi ya kimaasai pamoja na vazi lililompa ushindi Saida Kesy
Mtaalamu...
9 years ago
Vijimambo18 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bEVB7BvZKQw/VJQzHjlyD2I/AAAAAAAG4ck/uZF_ZsTYpIU/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
BALOZI KAMALA AKAGUA HOTELI YA NYOTA TANO PATAKAPO FANYIKA KONGAMANO LA BIASHARA MWAKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-bEVB7BvZKQw/VJQzHjlyD2I/AAAAAAAG4ck/uZF_ZsTYpIU/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Fukwe tano bora duniani
10 years ago
Vijimambo10 Jul