Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwekezaji Mtwara wapamba moto

UKUAJI wa uchumi na mabadiliko ya maisha ya wakazi wa Mkoa wa Mtwara unaotokana na ugunduzi wa gesi asilia, unaanza kuwa dhahiri baada ya Kampuni ya Dangote Industries Limited, kuomba kibali cha kufua umeme wake wa megawati (MW) 75.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha

Zile habari zilizosambaa kwenye mitandao  ya kijamii  kuonesha  kwamba hotel ya Naura Spring ya jijini Arusha inawaka moto zilikuwa si za kweli ni watu wametengeza picha hizo ambazo zilikuwa zimeenea kila pembe.Kamanda wa Polisi Arusha Liberatus Sabas ameongea jioni hii na vyombo vya habari na kukanusha habari za hotel hiyo ya kitalii jijini Arusha kwamba iliwaka moto hizo ni picha za kutengeneza hotel ipo salama kabisa kama unavyoona kwenye picha ya juu. Picha ya chini yake ndiyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgomo mwengine wapamba moto A Kusini

Wachimba migodi wakataa pendekezo jipya la nyongeza ya mishahara Afrika Kusini na watishia kuzidisha mgomo

 

11 years ago

Mwananchi

Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo

Nauli za mabasi ya mikoani na nchi jirani zimeendelea kupanda, na sasa Mikoa ya Iringa na Tanga nayo imeguswa na ongezeko hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Udhibiti vifo vya mama wapamba moto Rukwa

MKAKATI wa kudhibiti vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua umepamba moto mkoani Rukwa, kutokana na jamii, watendaji, viongozi wa kisiasa kubanwa wakitakiwa kuhakikisha katika maeneo hakitokei kifo.

 

10 years ago

Michuzi

msako wa KARAFUU CHAFU kisiwani PEMBA wapamba moto

 Afisa mdhamini shirika la biashara la taifa Zanzibar ZSTC Pemba Abdalla Ali Ussi (kulia), akiwa na mkulima wa zao la karafuu Khatib Suleiman Amour, ambae anadaiwa kuchanganya karafuu na makonyo na kugundulika na watendaji wa ZSTC wa Finya, wilaya ya Micheweni  Mpimaji wa karafuu wa kituo cha mauzo ya zao hilo, Wete Pemba,  Kitwana Salim Kitwana, akipima karafuu hizo kituoni hapo.  Wananchi waliokodi shamba la mikarafuu la serikali eneo la Makuwe wilaya ya Micheweni Pemba, ambao kwa sasa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjadala wa madhara ya uvutaji bangi wapamba moto uingereza

Neno lenye maana na majina mengi. Marijuana. Cannabis. Sigara kali. Spliff. Kaya. Na kadhalika. Kwa Kiswahili asili ya neno “bhang” ni Kihindi. Sina hakika kama zamani kabla ya ujio wa wageni tulilienzi jani hili. Jani lililo mkebe mmoja na “kunguni” wa dawa za kulevya.

 

10 years ago

Dewji Blog

EXCLUSIVE: Kura za maoni ndani ya CCM Ubunge na Udiwani wapamba moto nchini kote

WANACDBaadhi ya Wana CCM wakiwa katika moja ya mikutaano yao wakati wa kujitambulisha kwa wagombea Ubunge na Udiwani walipotembelea na kujinadi kwao hivi karibuni. Pichani ni wana CCM wa Kata ya Magomeni kama wanavyoonekana hivi karibuni (Picha na Maktba ya modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

Kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi  (CCM) zimeendelea kupamba moto kwa sehemu mbalimbali wana CCM kujitokeza kupiga kura kuchagua kiongozi wao atakaye wafaa ndani ya CCM ambaye  baadae...

 

5 years ago

Michuzi

UJENZI MRADI MKUBWA ENEO LA MAEGESHO YA NDEGE UWANJA WA NDEGE WAPAMBA MOTO ZANZIBAR

Kazi ya ujenzi wa mradi mkubwa wa eneo la maegegesho ya ndege kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar zimeanza kupamba moto baada ya kusita kwa muda mrefu.

Harakati za umwagaji wa zege katika sehemu za kupakia na kushukia abiria ziko katika hatua nzuri chini ya wahandisi wa kampuni ya kimataifa ya CRJ kutoka nchini China wakisaidiwa na wahandisi na washauri wazalendo waliobobea kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wa Dar es Salam.

Makamu wa Pili wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TIC kukuza uwekezaji Mtwara

KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesema kitaendelea kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, ili kuendelea kuhamasisha na kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi katika mkoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani