MAMA MKOANI KATAVI AMEAGA DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-d1dgkVMpf6A/XtqblqFFnJI/AAAAAAAAnvc/LhvPI_4x8ikPI8TAp40aMVbMULIsOTnQwCLcBGAsYHQ/s72-c/8798e1d4-4759-481b-8e44-afb5bdd0ccfa.jpg)
Wananchi wa Kijiji cha Kasekese Mkoa wa Katavi wasaidi kuzima moto uliodaiwa kuwa kuna mpangaji moja (jina tumelihifadhi) aliyekuwa akiandaa kupika chakula huku chumbani humo kukiwa na mafuta ya petroli kwa maandalizi ya kwendanayo shambani alipokuwa anatarajia kuamkia huko shambani kwake.
Katika nyumba hiyo yenye vyumba tisa vya wapangaji nyumba ya bwana Visent Emanuel ambapo chanzo cha habari kilichotufikia Juni 3, 2020, Mpangaji huyo alitoka nje kujiokoa na baada ya kutoa vyombo lakini...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WOXkr8SImEo/VnqE_ngLugI/AAAAAAAIOMk/4MwG_A615hA/s72-c/AicFpTwl2eOeiicBz4KICCE42nM_Y4oNR0u4oz-pxHat.jpg)
WATU SABA WAFARIKI DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO NA WENGINE KUMI WAJERUHIWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-WOXkr8SImEo/VnqE_ngLugI/AAAAAAAIOMk/4MwG_A615hA/s640/AicFpTwl2eOeiicBz4KICCE42nM_Y4oNR0u4oz-pxHat.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hLzmHj8xxJg/VnqEEwhyDLI/AAAAAAAIOMI/IAHqP9pyAFM/s640/AkRplWixylucpvJPSxtr-Bit7r3tXMZj3U5AkeLLxUvO.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DUm1dRvfyVc/VnqEEYpVbmI/AAAAAAAIOL8/2NqRHz1qW2U/s640/AhyQZ2otXYtJMzFFW0sUUTAOHe7bS9iCHWJLAIiO6MeY.jpg)
Na Editha Karlo wa blog wa jamii,Kigoma
WATU saba wamefariki duniani na wengine kumi wamejeruhiwa katika ajali...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s72-c/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
![](https://4.bp.blogspot.com/-X5RGQ-FX9SE/U8lfIZDX18I/AAAAAAACzFM/YYTXfOak2oc/s1600/NAURA+SPRING.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s1600/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3481O2wl3QE/U00Q8p_z9bI/AAAAAAAFa2I/CXWEXeOnyG4/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMTEMBELEA MAMA YAKE MZAZI WAZIRI MKUU PINDA MKOANI KATAVI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-3481O2wl3QE/U00Q8p_z9bI/AAAAAAAFa2I/CXWEXeOnyG4/s1600/10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WaWJ4_A0fuA/U00RAb7l7vI/AAAAAAAFa2Q/drF7nhJJF9w/s1600/12.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWANDISHI WA HABARI NA MTUNZI WA VITABU AMEAGA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Prof Walibora aligongwa na gari katika barabara ya Landhies, jijini Nairobi Ijumaa na mwili wake umekuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Kenyatta (KNH).
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Walibora hakuonekana tangu Ijumaa na familia yake ilikuwa ikimtafuta kwa siku kadhaa kabla ya kubaini kwamba alikuwa amegongwa na gari.
Walibora ni mmoja wa watunzi mashuhuri wa...
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mwanamziki wa Lingala Aurlus Mabele ameaga dunia
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5hcfuvzs83s/Vdjn1Hy_SqI/AAAAAAAHzMI/zwNf-2gyMgs/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
MAFUNZO YA HUDUMA ZA LESENI KWA NJIA YA MTANDAO MKOANI KATAVI
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia