Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha waipa neno beki ya Stars

Makocha Mecky Mexime, Fred Minziro na Jackson Mayanja wamebainisha matatizo makuu matatu yanayoisumbua safu ya ulinzi ya timu ya taifa (Taifa Stars), ambayo yanaweza kuwagharimu katika harakati za kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Cannavaro: Beki Taifa Stars tatizo

>Nahodha wa Taifa Stars, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ amesema safu yao ya ulinzi imekuwa ikifanya makosa mengi yanayoigharimu timu hiyo, lakini amewatoa hofu mashabiki kuwa hali hiyo haitajirudia kwenye mchezo ujao dhidi ya Msumbiji.

 

9 years ago

Mwananchi

JPM kutolipa makocha Stars

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) litalazimika kutafuta vyanzo vipya vya mapato yake ili kumlipa kocha wa Taifa Stars, Charles Mkwassa baada ya Serikali kueleza kuwa hakuna ulazima wa kuendelea na utaratibu wa kuwalipa makocha wa timu za Taifa katika uongozi wa awamu ya tano.

 

9 years ago

Habarileo

JK aipa neno Stars, amfagilia Samatta

RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete amesema Taifa Stars kama inahitaji ushindi katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Algeria inahitaji kujituma kwa moyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makocha 40 wasaka vipaji Taifa Stars

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeteua jopo la makocha wazawa 40 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar kung’amua vipaji katika mkakati wake wa kuboresha timu ya taifa, Taifa Stars....

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars : Tatizo ni makocha au wachezaji?

Itakumbukwa Agosti 26,1979 Taifa Stars ilikuwa ikihitaji sare ya aina yoyote dhidi ya Zambia ili ifuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa mara ya kwanza tangu ilipoanza kushiriki mwaka 1968.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta atoa neno zito Stars

BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.

 

9 years ago

Mwananchi

JK aibukia Addis awapa neno Kili Stars

Wiki chache baada ya kung’atuka madarakani, Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ameibukia mjini Addis Ababa, Ethiopia kunakofanyika mashindano ya Kombe la Chalenji huku  akiwatakia kila la heri Kilimanjaro Stars.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI HAIJATOA TAMKO LA KUTOWALIPA MAKOCHA WA TAIFA STARS


Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inakanusha taarifa zilizoandikwa katika gazeti la Mwananchi la tarehe 24.12.2015 yenye kichwa cha habari “JPM kutolipa makocha Stars”.


Serikali  kupitia Wizara inayohusika na michezo haijatoa tamko  la kutowalipa makocha wanaofundisha timu ya Taifa Stars kama ilivyoripotiwa na gazeti hilo.


Suala la malipo ya makocha wa Taifa Stars linashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Serikali, pindi maamuzi yatapofikiwa, serikali itatoa maelekezo...

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA MAFUNZO YA AIRTEL RISING STARS YANAYOONGOZWA NA MAKOCHA WA MANCHESTER UNITED YAFANA

UZINDUZI wa klinic ya mafunzo ya soka ya Airtel Rising Stars yanayofanywa na makocha wa Manchester United Soccer School jana ilizinduliwa rasmi nchini Tanzania pale Azam Complex Chamanzi na kushirikisha wachezaji 72 kutoka nchi 12 za Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani