Makocha waipa neno beki ya Stars
Makocha Mecky Mexime, Fred Minziro na Jackson Mayanja wamebainisha matatizo makuu matatu yanayoisumbua safu ya ulinzi ya timu ya taifa (Taifa Stars), ambayo yanaweza kuwagharimu katika harakati za kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Cannavaro: Beki Taifa Stars tatizo
9 years ago
Mwananchi24 Dec
JPM kutolipa makocha Stars
9 years ago
Habarileo11 Nov
JK aipa neno Stars, amfagilia Samatta
RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete amesema Taifa Stars kama inahitaji ushindi katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Algeria inahitaji kujituma kwa moyo.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Makocha 40 wasaka vipaji Taifa Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeteua jopo la makocha wazawa 40 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar kung’amua vipaji katika mkakati wake wa kuboresha timu ya taifa, Taifa Stars....
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Taifa Stars : Tatizo ni makocha au wachezaji?
9 years ago
Habarileo09 Oct
Samatta atoa neno zito Stars
BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
JK aibukia Addis awapa neno Kili Stars
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ht7TeLHskiM/VnxDdeScU3I/AAAAAAAIOXQ/_s2BEweo_lw/s72-c/dar.png)
SERIKALI HAIJATOA TAMKO LA KUTOWALIPA MAKOCHA WA TAIFA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-ht7TeLHskiM/VnxDdeScU3I/AAAAAAAIOXQ/_s2BEweo_lw/s640/dar.png)
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inakanusha taarifa zilizoandikwa katika gazeti la Mwananchi la tarehe 24.12.2015 yenye kichwa cha habari “JPM kutolipa makocha Stars”.
Serikali kupitia Wizara inayohusika na michezo haijatoa tamko la kutowalipa makocha wanaofundisha timu ya Taifa Stars kama ilivyoripotiwa na gazeti hilo.
Suala la malipo ya makocha wa Taifa Stars linashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za Serikali, pindi maamuzi yatapofikiwa, serikali itatoa maelekezo...
11 years ago
GPL24 Apr
UZINDUZI WA MAFUNZO YA AIRTEL RISING STARS YANAYOONGOZWA NA MAKOCHA WA MANCHESTER UNITED YAFANA