JK aibukia Addis awapa neno Kili Stars
Wiki chache baada ya kung’atuka madarakani, Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ameibukia mjini Addis Ababa, Ethiopia kunakofanyika mashindano ya Kombe la Chalenji huku akiwatakia kila la heri Kilimanjaro Stars.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s72-c/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu awapa neno Waislamu
NA MWANDISHI WETU
MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu, ameungana na viongozi wa dini ya Kiislamu kukemea vitendo vya uhalifu.
Ili kudhibiti vitendo hivyo, amezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto ili kuondokana na wimbi la watu wanaojiingiza makundi yanayofanya mambo hayo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s1600/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu alisema hayo jana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa Kiislamu katika kuimarisha usalama nchini yenye kauli mbiu isemayo ‘Amani na usalama ndio maisha...
10 years ago
Bongo Movies13 May
Shamsa Awapa Neno Wanaume Hawa
Ni rahisi sana kumpata mwanamke mzuri,mwenye shape unayoitaka,mwenye sura nzuri ,sauti nzuri,nk..But ni vigumu kumpata mwanamke ambaye ameanza moja na ww kuanzia huna kitu mpaka unacho.ni vigumu kumpata mwanamke ambaye uwe nacho usiwe nacho yupo na ww.Ni vigumu kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati..ila leo hii wanaume wengi wamekuwa wakiwathamini sana wanawake wale ambao wanawaita warembo na kuwasahau hawa ambao wameanza nao moja...inauma sana coz nimeona mifano...WANAUME MPO?!
Shamsa Ford
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbLLGO3dMemxhzCxjZITc88re1H1*3Zi1tqEKgZAICAsKI6OaSRZtLhUbz18rENtlbkeDZgTF6EcOl5iBAFelJ4/kilistars.jpg)
KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eazHpS7N91E/VXHAjhbQSkI/AAAAAAABbCQ/VDkTAcnlI5s/s72-c/thumb_IMG_2061_1024.jpg)
STARS YAJIFUA ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eazHpS7N91E/VXHAjhbQSkI/AAAAAAABbCQ/VDkTAcnlI5s/s640/thumb_IMG_2061_1024.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhamini na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo imeanza mazoezi katika uwanja wa Addis Ababa zamani ukifahamka kama (Haille Sellsie) uliopo jijini Addis Ababa kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri utakaopigwa Juni 14,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s72-c/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s640/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro kimeendelea kujifua katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia eneo la CMC asubuhi na jioni katika uwanja wa Taifa wa Addis Ababa. Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa imekua ikijifua mara mbili kwa siku, kuhakikisha wachezaji wanakua vizuri kuelekea katika mchezo dhidi ya timu ya Taifa Misri mwishoni mwa wiki hii jijini Alexandria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DXjunU2NCcE/VXVvmWKM5yI/AAAAAAAA_P0/-V1oHKSShYM/s640/thumb_IMG_2231_1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA JIJINI ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
Stars ambayo iliwasili jana jioni jijini Addis Ababa imefikia katika hoteli ya Debre Damo iliyopo eneo na 22 Mazoiria ambapo itakaa kambi kwa kipindi cha wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Mapaharao.
Kocha Mkuu wa...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Samatta atoa neno zito Stars
BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.