STARS YAENDELEA KUJIFUA JIJINI ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhamini na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo imeanza mazoezi katika uwanja wa Addis Ababa zamani ukifahamka kama (Haille Sellsie) uliopo jijini Addis Ababa kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri utakaopigwa Juni 14, jijini Alexandria.
Stars ambayo iliwasili jana jioni jijini Addis Ababa imefikia katika hoteli ya Debre Damo iliyopo eneo na 22 Mazoiria ambapo itakaa kambi kwa kipindi cha wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Mapaharao.
Kocha Mkuu wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s72-c/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s640/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro kimeendelea kujifua katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia eneo la CMC asubuhi na jioni katika uwanja wa Taifa wa Addis Ababa. Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa imekua ikijifua mara mbili kwa siku, kuhakikisha wachezaji wanakua vizuri kuelekea katika mchezo dhidi ya timu ya Taifa Misri mwishoni mwa wiki hii jijini Alexandria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DXjunU2NCcE/VXVvmWKM5yI/AAAAAAAA_P0/-V1oHKSShYM/s640/thumb_IMG_2231_1024.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eazHpS7N91E/VXHAjhbQSkI/AAAAAAABbCQ/VDkTAcnlI5s/s72-c/thumb_IMG_2061_1024.jpg)
STARS YAJIFUA ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eazHpS7N91E/VXHAjhbQSkI/AAAAAAABbCQ/VDkTAcnlI5s/s640/thumb_IMG_2061_1024.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhamini na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, leo imeanza mazoezi katika uwanja wa Addis Ababa zamani ukifahamka kama (Haille Sellsie) uliopo jijini Addis Ababa kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri utakaopigwa Juni 14,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA SAUZI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s640/unnamed%2B(86).jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya kufanya mazoezi ya kwanza jana jioni.
Nooii amesema japokuwa kuna hali ya hewa ya baridi katika mji wa Rustenburg, wachezaji wake wameanza kuizoea na kusema kwa kuwa bado kuna zaidi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s72-c/3.jpg)
TIMU YA TANZANIA "TAIFA STARS" YAENDELEA KUJIFUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2osnNF70-B0/VVXYlpCK9rI/AAAAAAABZZs/j7ofU4yPoa4/s640/8.jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s640/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwnFGVLEFXw/VVkOz_K0OBI/AAAAAAAHX1I/68FBFjtnPpM/s640/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQCz2EQNRTM/VVkO1MvBzMI/AAAAAAAHX1M/KmOeszJ7oc4/s640/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-15XOaj4spho/VMtwJXJSX1I/AAAAAAAHAXw/-0ckshaQ1II/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
Rais Kikwete ateta na Rais wa Zamani wa Nigeria,Olusegun Obasanjo jijini Addis Ababa
![](http://3.bp.blogspot.com/-15XOaj4spho/VMtwJXJSX1I/AAAAAAAHAXw/-0ckshaQ1II/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s72-c/unnamed.jpg)
TANZANIA YAONGOZA MJADALA WA WAZI (OPEN SESSION) WA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU WATOTO NA VITA BARANI AFRIKA (CHILDREN AND ARMED CONFLICTS IN AFRICA) JIJINI ADDIS ABABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tiyt1Izo91k/U2uzPcb-GlI/AAAAAAAFgVo/7H-xETYCFFY/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/FAEC/production/_86163246_ethiopia_tram1920.jpg)
VIDEO: All aboard the Addis Ababa tram