TIMU YA TANZANIA "TAIFA STARS" YAENDELEA KUJIFUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s72-c/3.jpg)
Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' wakiwa katika mazoezi katika uwanja wa Olympia Park kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeendelea na mazoezi katika uwanja wa Olympia Park kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland.
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s640/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwnFGVLEFXw/VVkOz_K0OBI/AAAAAAAHX1I/68FBFjtnPpM/s640/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQCz2EQNRTM/VVkO1MvBzMI/AAAAAAAHX1M/KmOeszJ7oc4/s640/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA SAUZI....
![](http://3.bp.blogspot.com/-TsX1sCH_RNU/VVXxCFVgQPI/AAAAAAAHXcY/314ByYdt6Xc/s640/unnamed%2B(86).jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya kufanya mazoezi ya kwanza jana jioni.
Nooii amesema japokuwa kuna hali ya hewa ya baridi katika mji wa Rustenburg, wachezaji wake wameanza kuizoea na kusema kwa kuwa bado kuna zaidi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s72-c/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ppelX2Gn3IM/VXVvmp4AhJI/AAAAAAAA_P4/c_7MmI-Cbdo/s640/thumb_IMG_2221_1024.jpg)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro kimeendelea kujifua katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia eneo la CMC asubuhi na jioni katika uwanja wa Taifa wa Addis Ababa. Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa imekua ikijifua mara mbili kwa siku, kuhakikisha wachezaji wanakua vizuri kuelekea katika mchezo dhidi ya timu ya Taifa Misri mwishoni mwa wiki hii jijini Alexandria.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DXjunU2NCcE/VXVvmWKM5yI/AAAAAAAA_P0/-V1oHKSShYM/s640/thumb_IMG_2231_1024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s72-c/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
STARS YAENDELEA KUJIFUA JIJINI ADDIS ABABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-E--k14udOOc/VXHjcCJV6tI/AAAAAAAHcX0/PRSarmyTHbE/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
Stars ambayo iliwasili jana jioni jijini Addis Ababa imefikia katika hoteli ya Debre Damo iliyopo eneo na 22 Mazoiria ambapo itakaa kambi kwa kipindi cha wiki moja kujiandaa na mchezo dhidi ya Mapaharao.
Kocha Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s72-c/1.jpg)
TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z36_hzm3vZs/Vd2v-5x7SzI/AAAAAAAH0Lw/cnDEx-rvP4k/s640/3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 May
Taifa Stars yaanza kujifua kwa COSAFA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s72-c/MMGM1237.jpg)
Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zt1MqjoKB54/VDqcMjnFA6I/AAAAAAAGpkc/4-7jYWGstfg/s1600/MMGM1237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F839fh-xuUg/VDqdD20esxI/AAAAAAAGplE/pR53zlJRhuk/s1600/MMGM1069.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DVHg3Z8zODY/VDqcQ8bQxUI/AAAAAAAGpkk/VikrHaNIwEg/s1600/MMGM1162.jpg)
10 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA POOL YAENDELEA KUJIJUA TAYARI KWA MASHINDANO YA AFRIKA
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...