Shamsa Awapa Neno Wanaume Hawa
Ni rahisi sana kumpata mwanamke mzuri,mwenye shape unayoitaka,mwenye sura nzuri ,sauti nzuri,nk..But ni vigumu kumpata mwanamke ambaye ameanza moja na ww kuanzia huna kitu mpaka unacho.ni vigumu kumpata mwanamke ambaye uwe nacho usiwe nacho yupo na ww.Ni vigumu kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati..ila leo hii wanaume wengi wamekuwa wakiwathamini sana wanawake wale ambao wanawaita warembo na kuwasahau hawa ambao wameanza nao moja...inauma sana coz nimeona mifano...WANAUME MPO?!
Shamsa Ford
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s72-c/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu awapa neno Waislamu
NA MWANDISHI WETU
MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini, Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu, ameungana na viongozi wa dini ya Kiislamu kukemea vitendo vya uhalifu.
Ili kudhibiti vitendo hivyo, amezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto ili kuondokana na wimbi la watu wanaojiingiza makundi yanayofanya mambo hayo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-4JG_01MxY-A/VS_aiRcgMSI/AAAAAAAACGE/d9oPOk90yzU/s1600/igp%2Bmangu.gif)
IGP Mangu alisema hayo jana katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa Kiislamu katika kuimarisha usalama nchini yenye kauli mbiu isemayo ‘Amani na usalama ndio maisha...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
JK aibukia Addis awapa neno Kili Stars
9 years ago
Bongo Movies14 Sep
Uwoya Awapa Makavu Wasanii Hawa
Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ambaye ameshapitishwa na hama chake cha CCM kuwania ubunge wa viti maalum amewapa makavu baadhi ya wasanii wenzake wa bongo movies ambao hawakiungio mkono chama cha mapinduzi wakati baadhi yao walikuwa karibu sana na Rais Kikwete anaye maliza muda wake.
Kupitia kurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, Uwoya awachana wa sanii hao kuwa yule wa nao muunga mkono hakuwahi kuwathamini hata siku moja.
"Sasa narudi kwa wasaniii wasio jitambua!katika tasnia...
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Riyama Awapa Makavu Waandaaji Hawa wa Filamu
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amewatupia dongo baadahi ya waandaaji wa filamu ambao huwa wababaishaji kwenye kuwalipa wasanii mara baada ya kumaliza kazi, akijitolea mfano wa yeye kufanyima hivyo mara kadhaa kitendo ambacho anasema kinawarudisha sana nyuma wasanii.
Riyama ametobao hilo mtandao mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu akiwa mzigoni na kuandika haya.
“Kazini najichekesha tu ila nimechoka hoi wallah Dah........ HATARIIIIII
Halafu unamalizia kushuti prodiucer ana...
10 years ago
Bongo Movies07 May
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Watu Hawa Mtandaoni
Hivi naomba kuuliza kuna mtu nilimuomba humu kwenye page yangu anifollow???au nilishatangazwa kuomba followers mimi!!!Sasa ni mm ni mswahili mjue alafu habari za kukaa kutishiana maisha sipendi mana naona kila mtu mfundaji humu ndani kila mtu nyakanga vyote mnajua nyinyi!!
Mungu haombwi insta wala asalitiwi insta kila mtu na dini na kanuni zake kulingana na bando lake mimi nikiingia labour leo lolote lile litakalokuwa ndio matokeo na ndio mwenyezi Mungu alichopanga, hata nikajifiche wapi...
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Hawa Ndio Mastaa 10 Wakiume wa Bongo Movies Ambao Shamsa Anawakubali
Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambae ni Binamu Wa Nay Wa Mitego amewataja hawa kua ndio wakali wake.
“Mambo vipi Tanzania? Leo ningependa kuwatajia wanaume 10 ambao huwa napenda sana uigizaji wao, haimanishi kwamba wao ndo the best kuliko wengine but napenda tu sanaa yao. (1) Single Mtambalike ‘Richie’ (2) Marehemu Adamu Kuambiana (3) Marehemu Kanumba (4) Muhogo Mchungu (5) Swebe (6)Tino (7) Gabo (8) Vincet Kigosi ‘Ray’ (9) Bishanga Bashaiga (10) Cloud112....nawakubali sanaaaaa...
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.