Riyama Awapa Makavu Waandaaji Hawa wa Filamu
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amewatupia dongo baadahi ya waandaaji wa filamu ambao huwa wababaishaji kwenye kuwalipa wasanii mara baada ya kumaliza kazi, akijitolea mfano wa yeye kufanyima hivyo mara kadhaa kitendo ambacho anasema kinawarudisha sana nyuma wasanii.
Riyama ametobao hilo mtandao mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu akiwa mzigoni na kuandika haya.
“Kazini najichekesha tu ila nimechoka hoi wallah Dah........ HATARIIIIII
Halafu unamalizia kushuti prodiucer ana...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies14 Sep
Uwoya Awapa Makavu Wasanii Hawa
Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya ambaye ameshapitishwa na hama chake cha CCM kuwania ubunge wa viti maalum amewapa makavu baadhi ya wasanii wenzake wa bongo movies ambao hawakiungio mkono chama cha mapinduzi wakati baadhi yao walikuwa karibu sana na Rais Kikwete anaye maliza muda wake.
Kupitia kurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, Uwoya awachana wa sanii hao kuwa yule wa nao muunga mkono hakuwahi kuwathamini hata siku moja.
"Sasa narudi kwa wasaniii wasio jitambua!katika tasnia...
10 years ago
Bongo Movies07 May
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Watu Hawa Mtandaoni
Hivi naomba kuuliza kuna mtu nilimuomba humu kwenye page yangu anifollow???au nilishatangazwa kuomba followers mimi!!!Sasa ni mm ni mswahili mjue alafu habari za kukaa kutishiana maisha sipendi mana naona kila mtu mfundaji humu ndani kila mtu nyakanga vyote mnajua nyinyi!!
Mungu haombwi insta wala asalitiwi insta kila mtu na dini na kanuni zake kulingana na bando lake mimi nikiingia labour leo lolote lile litakalokuwa ndio matokeo na ndio mwenyezi Mungu alichopanga, hata nikajifiche wapi...
10 years ago
Bongo Movies04 Apr
Faiza Awapa Makavu Vijana wa Aina Hii
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Faiza Ally ameonekana kuungwa mkono na wengi baada ya kuwatolea uvivu vijana wanaopenda mtelemko katika maisha na kufikia kufanywa vitendo visivyo faa.
“Vijana wa kiume wadogo wadogo wana danganya na wanaume wenzao - wanageuzwa kwa ajili ya ugumu wa maisha na tamaa - yarab stara kwa watoto wetu .....Habari za mji huu zina sikutisha sana - kumbe ndio maana siku hizi wanaume wanapenda mik*ndu uwiii tunaelekea wapiiiiii wenzangu ? mimi nasikitishwa natamani...
9 years ago
Bongo Movies31 Dec
Ray Awapa Makavu Wanaofatilia Maisha ya Watu Insta
![Ray](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/RAY32.png)
Ray
Ray ameandika haya kwenye ukurasa wake Instagram.
“Kijana mwenzangu mwaka ndio huo unaisha inama tafakari nini ulichokifanya mwaka huu,je ulichokipanga kimefanikiwa kwa asilimia ngapi au kazi yako ilikuwa nikuangaika na maisha ya watu kwenye insta?
Wenzako wanapiga hatua kumi mbele wewe unapiga hatua kumi nyuma. ujachelewa achana na maisha ya watu pambana na maisha yako ..(life is all about the money.)”
Nadhani Ujumbe umefika.
10 years ago
Vijimambo17 Feb
USTAADHI JUMA AWAPA MAKAVU LIVE KWA WANAOPENDA MADEMU WA KIZUNGU
![](http://api.ning.com/files/Aaa76ACbkjIF1GHXHKb0K*PB2Rg*1cT*uoYeY8RN5MFsuyroGPJ4C8J-sFwTS3rdUgnQB*4t1roE0q1WeOejxfQJ9B14uP55/mademuwakizungu.jpg)
"ndio maana kwa upande wangu mimi, penz langu la dhati nimeelekeza kwa mke wangu mpendwa Mariam Daudi Mchitinyi," sehemu ya maneno aliyotupia yalisema.
![](http://api.ning.com/files/Aaa76ACbkjI9d4n5I2Cww8Sd76TXCYXpnYpcUEfYVbUa3FM7v5ztLJ0Wk9cZKYH*Cl12mxmiZNYTXSKWsldCVdrJ*9D1pbzY/OstazJuma3.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Steve Nyerere Awapa Makavu Baadhi ya Mastaa Wenzake wa Bongo Movies
Staa wa bongo movies, Steve Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema hana mpango na shutuma mbalimbali zinazosemwa na baadhi ya wasanii wenzake kwani Mungu atamlipa kutokana na uvumilivu wake
Steve nyerere aliyasema hayo na kuweka wazi kuwa kuna watu wanamchafua ambao hawana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kutupia picha kwenye mitao ya kijamii na kujinadi kwa nyumba nzuri na na magari ya kuazima.
“ Unajua kuna mambo kibao ya kufanya katika jamii lakini watu hawayaoni zaidi ya majungu tu hao...
9 years ago
Bongo Movies02 Nov
Aunt Ezekiel Awapa Makavu Wanaoponda Penzi Lake na Baba Cookie
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ ambaye amezaa na mcheza shoo wa msanii Diamond Platnumz, Moses Iyobo amewapa makavu wale wote wanaodani kuwa amepotea kwa kitendo chake cha kuzaa na mcheza shoo huyo.
Kupitia ukurasa wake mtandaon, Aunt aliweka picha hiyo hapo juu ya Iyobo na kuandika haya.
“Kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani nyinyi na Maboss wenu mimi na Dancer wangu wote tunatembelea makalio pumbavuu kaza buti Dady Cookie wangu nakupenda hvyohvyo.....”
Ujumbe...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
10 years ago
Bongo Movies13 May
Shamsa Awapa Neno Wanaume Hawa
Ni rahisi sana kumpata mwanamke mzuri,mwenye shape unayoitaka,mwenye sura nzuri ,sauti nzuri,nk..But ni vigumu kumpata mwanamke ambaye ameanza moja na ww kuanzia huna kitu mpaka unacho.ni vigumu kumpata mwanamke ambaye uwe nacho usiwe nacho yupo na ww.Ni vigumu kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati..ila leo hii wanaume wengi wamekuwa wakiwathamini sana wanawake wale ambao wanawaita warembo na kuwasahau hawa ambao wameanza nao moja...inauma sana coz nimeona mifano...WANAUME MPO?!
Shamsa Ford
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10