Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aipa neno Stars, amfagilia Samatta

RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk Jakaya Kikwete amesema Taifa Stars kama inahitaji ushindi katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Algeria inahitaji kujituma kwa moyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Samatta atoa neno zito Stars

BAADA ya kufanikiwa kufunga bao moja katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Stars ikiwa nyumbani dhidi ya Malawi, Mbwana Samata amesema, kama wachezaji wa Stars wangekuwa makini basi wangeweza kufunga mabao mengi zaidi kwenye mchezo huo.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif arejesha fomu, aipa neno Zec.

Maalim Seif arejesha fomu, aipa neno Zec. NA RAHMA SULEIMAN 4th September 2015 Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif hamad, jana alirejesha fomu kimyakimya wala kuwa na wapambe wa chama […]

The post Maalim Seif arejesha fomu, aipa neno Zec. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete aipa moyo Stars

RAIS Jakaya Kikwete ameitia moyo timu ya Taifa, Taifa Stars na kuwataka wasikate tamaa kwani wanaweza kuifunga Algeria. Taifa Stars inatarajia kucheza hatua ya pili dhidi ya Algeria katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi katika mchezo utakaochezwa Novemba 14, mwaka huu Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha waipa neno beki ya Stars

Makocha Mecky Mexime, Fred Minziro na Jackson Mayanja wamebainisha matatizo makuu matatu yanayoisumbua safu ya ulinzi ya timu ya taifa (Taifa Stars), ambayo yanaweza kuwagharimu katika harakati za kutafuta tiketi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani.

 

9 years ago

Mwananchi

JK aibukia Addis awapa neno Kili Stars

Wiki chache baada ya kung’atuka madarakani, Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete ameibukia mjini Addis Ababa, Ethiopia kunakofanyika mashindano ya Kombe la Chalenji huku  akiwatakia kila la heri Kilimanjaro Stars.

 

9 years ago

Habarileo

Samatta, Ulimwengu waing’arisha Stars

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitakata baada ya kuifunga Malawi `The Flames’ kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Mbwana Samatta amtaja aliyeimaliza Stars

Straika tegemeo katika kikosi cha Taifa Stars, Mbwana Samatta. Na Mwandishi Wetu
STRAIKA tegemeo katika kikosi cha Taifa Stars, Mbwana Samatta, ambaye juzi Jumapili aliiongoza timu hiyo kuibuka na ushindi dhidi ya Zimbabwe, ameibuka na kumtaja aliyewasumbua katika mchezo huo.
Mbwana ambaye anakichezea kikosi cha TP Mazembe cha DR Congo, alisema kiungo wa Zimbabwe, Kudakwashe Mahachi, ndiye alikuwa tatizo kwao.… ...

 

9 years ago

Michuzi

NGASA, ULIMWENGU, SAMATTA WAJIUNGA STARS

Wachezaji watatu wa kimataifa wa Tanzania wanacheza soka la kulipwa nje ya nchi, Mrisho Ngasa (Free State – Afrika Kusini) Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta (TP Mazembe – Congo DRC) wamejiunga na kambi ya Taifa Stars iliyopo katika hoteli ya Urban Rose – Kisutu jana jijini Dar es salaam.Kocha Mkuu wa Taifa Stars Charels Mkwasa amewapokea wachezaji hao na jana kufanya mazoezi pamoja na wachezaji waliokuwa kambini nchini Uturuki saa 10 jioni katika uwanja Taifa jijini Dar salaam.Kwa mujibu wa...

 

9 years ago

TheCitizen

Samatta keen to fire Stars to glory

aifa Stars forward Mbwana Samatta is ready to propel the team to the 2018 World Cup group stage, vowing to replicate his TP Mazembe form when Tanzania squares up against Algeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani