Samatta, Ulimwengu waing’arisha Stars
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitakata baada ya kuifunga Malawi `The Flames’ kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen12 Nov
Stars’ Samatta, Ulimwengu for Swaziland date
9 years ago
Michuzi03 Sep
NGASA, ULIMWENGU, SAMATTA WAJIUNGA STARS
![](http://tff.or.tz/images/mkwasa.png)
9 years ago
Habarileo11 Nov
Samatta, Ulimwengu kuifuata Stars Dar
WASHAMBULIAJI mahiri wa Tanzania wanaoichezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mbwana Ally Samatta na Thomas Ulimwengu wataungana na timu ya taifa jijini Dar es Salaam badala ya kwenda Afrika Kusini ambako imepiga kambi.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Taifa Stars yaondoka bila Samatta, Ulimwengu
Na Zena Chande KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Charles Mkwasa amesema anaamini kikosi chake kitaimarika zaidi kwa kambi ya siku 10 Afrika Kusini.
10 years ago
TheCitizen27 May
Samatta, Ulimwengu to lead Stars’ Afcon charge
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria
9 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Ulimwengu, Samatta kiboko’
9 years ago
TheCitizen11 Nov
Samatta, Ulimwengu, Ngassa out
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Samatta, Ulimwengu wamdatisha Mfaransa
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Algeria ‘The Desert Foxes’, Christian Gourcuff, ameukubali uwezo ulioonyeshwa na wachezaji wa Tanzania ‘Taifa Stars’ wakiwemo nyota wa kikosi hicho, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu.
Kauli ya Mfaransa huyo imekuja baada ya Stars kutoa sare ya mabao 2-2 dhidi ya kikosi chake kwenye mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.
Licha ya Samatta kufunga moja ya...