Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI : Hongera Serikali kusikiliza wanahabari

Juzi Serikali ilikubali kuundoa Muswada wa Sheria ya Upatikanaji Habari ya 2015 ili upelekwe kwa wadau kwa lengo la kuujadili na kukubaliana katika vipengele ambavyo wameviona vina matatizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera vyama Z’bar kusaini maadili ya uchaguzi

Hatimaye vyama vya siasa visiwani Zanzibar vimekubali kusaini mkataba wa Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, baada ya mkutano wa awali kuvunjika kwa madai ya kukosekana wadau muhimu kwenye mkutano huo ambao ni Chama cha Mapinduzi (CCM) na Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera Jaji Mutungi, lakini una kazi kubwa

Jumanne ya wiki hii Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameendelea kutoa angalizo kwa vyama vya siasa na wanasiasa, kuzingatia Sheria ya Gharama za Uchaguzi ili kuepuka kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria hiyo.

 

10 years ago

GPL

VETA YATAKIWA KUSIKILIZA MAONI YA WADAU ILI KUJUA MAHITAJI YAO SANJARI NA KUBADILISHA MITAALA YA ELIMU‏

Waziri wa Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka  wakati alipokuwa akizindua kongamano lililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwa ajili ya kujadili changamoto wanazozipata wadau hao. Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi akiwa anaongea katika kongamano hilo…

 

11 years ago

Tanzania Daima

CWT yaipongeza serikali kusikiliza hoja yao

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kimeipongeza serikali kwa kukubaliana na hoja yao ya kuwa na mwajiri mmoja. Akizungumza na waandishi wa habari juzi, Rais wa chama hicho, Gratian Mukoba, alisema...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hongera Serikali kwa kuanzisha benki ya kilimo

SERIKALI hivi karibuni imetangaza kuanzisha benki maalumu ya maendeleo ya kilimo.

Benki hiyo inajulikana kwa jina la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB).

Benki hiyo bado haijaanza kazi ikisubiri kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hata hivyo,  imekwisha kuanza mchakato wa kutafuta wafanyakazi watakaotoa huduma.

Kwa mujibu wa serikali, pamoja na mambo mengine madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa benki hii ni kurahisisha upatikanaji wa mikopo katika sekta ya kilimo ili...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanahabari wametimiza bado Serikali

Vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), vimeendelea kufanyika nchini. Ndani ya kipindi cha siku 50 watoto wawili albino wametekwa, Yohana Bahati aliyetekwa mkoani Geita na Pendo Emmanuel aliyetekwa mkoani Mwanza.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yawataka wanahabari kuhamasisha umma ulipaji kodi kwa maendeleo ya taifa

_MG_0836

Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima akifungua rasmi mafunzo hayo ya siku pili kwa waandishi wa habari za kodi nchini jijini Dar es Salaam.

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

SERIKALI imewataka waandishi wa habari nchini kuelimisha Watanzania umuhimu wa kulipa kodi  ikiwa ni pamoja na kuwaeleza madhara ya kukwepa kulipa kodi hiyo kwa taifa.

Hayo yamesemwa jana  jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akifungua mafunzo ya siku pili ya kodi kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yafafanua maoni ya Mwananchi

Serikali imelaani maoni ya Mhariri wa Mwananchi katika toleo la juzi ikidai yalikuwa na lengo la kupotosha mafanikio ya Rais Jakaya Kikwete na haiba ya Tanzania mbele ya Jumuiya ya Kimataifa.

 

10 years ago

GPL

SERIKALI YATAKA MAONI YA SHERIA YA MTANDAO

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa Na Jonas Mushi, Dar es Salam SERIKALI imewataka wananchi kutoa maoni yatakayoiboresha sheria ya makosa ya mitandao ya mwaka 2015 iliyosainiwa hivi karibuni na Rais Jakaya Kikwete ili yasaidie kuiboresha.
Imesema licha ya sheria hiyo kusainiwa na Rais, bado kuna umuhimu wa kuiboresha katika baadhi ya vipengele vyenye upungufu. Kauli hiyo imetolewa jana jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani