Serikali kudhibiti wizi haki za wasanii
SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, imeweka mikakati ya kudhibiti haki za kazi za wasanii wa muziki na filamu za Tanzania. Hayo yalisemwa bungeni juzi na waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Nov
BRN kudhibiti wizi wa dawa za serikali
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imesema baada ya kuingizwa katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) itadhibiti wizi wa dawa za serikali kwa kuweka alama ya GT (Government of Tanzania) katika dawa zote.
10 years ago
Vijimambo06 Sep
BI. SAMIA SULUHU AHAIDI KUDHIBITI WIZI WA DAWA HOSPITALI ZA SERIKALI



10 years ago
Michuzi06 Sep
BI. SAMIA SULUHU AHIDI KUDHIBITI WIZI WA DAWA HOSPITALI ZA SERIKALI



10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Nigeria kudhibiti wizi wa Mafuta
11 years ago
Dewji Blog27 Oct
NECTA yafanikiwa kudhibiti udanganyifu na wizi wa mitihani ya taifa nchini
Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu mafanikio yaliyofikiwa na Baraza hilo ikiwemo matumizi ya TEHAMA katika usajili wa watahimiwa na uchakataji wa matokeo ya Mitihani ya Taifa. Kulia ni Afisa Habari wa NECTA John Nchimbi.
Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) Bw. Daniel Mafie akiwaeleza waandishi wa habari leo jijini Dar s salaam...
9 years ago
Michuzi
TRA KUPAMBANA NA WIZI WA KAZI ZA WASANII

Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) imesema itaendelea kupambana na wale wote watakaogundulika kwa wizi wa kazi za sanaa.
Agizo hilo limetolewa na Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Alphayo Kidata alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari na kueleza kuwa wapo katika operesheni ya kukamata wezi wa kazi za sanaa .
"Ipo kamati ambayo inajumuisha wadau kama Bodi ya Filamu, Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na COSOTA ikishirikiana na Jeshi la Polisi katika...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Prof, Jay bado alia wizi kazi za wasanii
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, bado anaendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii huku akidai kwamba mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa...
10 years ago
Mtanzania31 Aug
Juma Nature: Wasanii tuna haki tukapige kura
NA VICTORIA PATRICK
MSANII asiyechuja, Juma Kassim ‘Juma Nature’ na mfalme wa muziki wa uswahilini, Selemani Jabir ‘Msaga Sumu’, walikuwa kiburudisho kikubwa katika uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, uliofanyika juzi katika Uwanja wa Jangwani jijini Dar es Salaam.
Baada ya kumaliza kutumbuiza, Juma Nature aliliambia MTANZANIA kwamba maombi yake kwa wasanii wenzake ni kujitokeza kwa...
9 years ago
Bongo521 Nov
Darasa kwa Wasanii: Ifahamu haki ya kutangaza kazi (Broadcasting Rights)

Msikilize Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA), akielezea kuhusu haki ya kutangaza kazi (Broadcasting Rights) inavyofanya kazi. Hili ni darasa zuri na muhimu kwa wasanii wote kuhusiana na sheria zinazolinda haki zao.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!