Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018
MAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mwekezaji vitalu vya uwindaji apigwa ‘stop’
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, limewakataa mwekezaji, Shen na wenzake Wembele Hunting Safaris wanaofanya kazi za uwindaji katika pori la misitu ya hifadhi iliyoko...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa
11 years ago
Habarileo29 Jun
Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa
SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4oy2FSO8Gzs/U7blshbLEHI/AAAAAAAFvAs/SB84DfygJeM/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Waziri Nyalandu atembelea Idara ya Uwindaji wa Kitalii Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-4oy2FSO8Gzs/U7blshbLEHI/AAAAAAAFvAs/SB84DfygJeM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tn5TU1NME6I/U7bltHae8kI/AAAAAAAFvBM/tmPJ56P6nPM/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_kf4vHwNi4/U7bltO_LK2I/AAAAAAAFvAw/b0FSG1DYbVU/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWEffiYCaxI/U7blt6YA9AI/AAAAAAAFvA0/dIhls-G3fUM/s1600/unnamed+(32).jpg)
11 years ago
Habarileo25 May
Watanzania wahimizwa kuomba vitalu vya mifugo
SERIKALI imewataka Watanzania kuwa mashujaa wa kuomba vitalu vya uwekezaji katika mashamba ya mifugo vinapotangazwa badala ya kuwaachia watu kutoka nje. Aidha, Wizara ya Fedha imesema itatoa Sh bilioni 10.5 kati ya takribani Sh bilioni 20 zilizosalia ambazo zilitengwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ili kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo.
9 years ago
MichuziSERIKALI KUNYANG’ANYA VITALU VYA MADINI VILIVYOHODHIWA.
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Mengi: Sikuwahi kuomba upendeleo vitalu vya gesi
9 years ago
Habarileo18 Oct
Vibali vya uwindaji vyasitishwa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10