Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro NyalanduMAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji vitalu vya uwindaji apigwa ‘stop’

BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, limewakataa mwekezaji, Shen na wenzake Wembele Hunting Safaris wanaofanya kazi za uwindaji katika pori la misitu ya hifadhi iliyoko...

 

11 years ago

Mwananchi

Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa

Mawakala wa biashara ya kusafirisha watalii (Tour operators), wameiomba Serikali kupiga marufuku kwa muda uwindaji wa kitalii kama njia ya kukabiliana na uwindaji haramu nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa

SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’

Tumeridhishwa na kasi aliyoanza nayo Waziri mpya wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo mapema wiki hii.

 

11 years ago

Michuzi

Waziri Nyalandu atembelea Idara ya Uwindaji wa Kitalii Arusha

 Watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Idara ya Uwindaji wa Kitalii,Cites na Utalii wa Picha Kanda ya Kaskazini ,wakimsikiliza Waziri wa Wizara hiyo ,Lazaro Nyalandu leo kwenye ziara yake mkoani Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akisalimiana na Askari Wanyama Pori  jijini Arusha leo. Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu(wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa  Idara ya Uwindaji wa Kitalii,Cites na Utalii wa Picha Kanda ya Kaskazini.

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania wahimizwa kuomba vitalu vya mifugo

SERIKALI imewataka Watanzania kuwa mashujaa wa kuomba vitalu vya uwekezaji katika mashamba ya mifugo vinapotangazwa badala ya kuwaachia watu kutoka nje. Aidha, Wizara ya Fedha imesema itatoa Sh bilioni 10.5 kati ya takribani Sh bilioni 20 zilizosalia ambazo zilitengwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ili kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KUNYANG’ANYA VITALU VYA MADINI VILIVYOHODHIWA.

Mmiliki wa kiwanda cha uongezaji thamani madini ya jasi kilichopo mkoani Singida, Emmanuel Shilla akimuonesha Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kushoto) moja ya bidhaa za urembo wa ndani ya nyumba unaotengenezwa kutokana na madini ya jasi yanayopatikana mkoani Singida.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard Kalemani (wa kwanza kushoto) akitazama jinsi madini ya jasi yanavyotumika kutengeneza vitu mbalimbali ikiwemo urembo wa ndani ya nyumba mara...

 

11 years ago

Mwananchi

Mengi: Sikuwahi kuomba upendeleo vitalu vya gesi

Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amesema hajawahi kuomba upendeleo wa kupewa vitalu vya gesi na kwamba, siku zote anapigania masilahi ya Watanzania.

 

9 years ago

Habarileo

Vibali vya uwindaji vyasitishwa

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani