Mengi: Sikuwahi kuomba upendeleo vitalu vya gesi
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amesema hajawahi kuomba upendeleo wa kupewa vitalu vya gesi na kwamba, siku zote anapigania masilahi ya Watanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 May
Watanzania wahimizwa kuomba vitalu vya mifugo
SERIKALI imewataka Watanzania kuwa mashujaa wa kuomba vitalu vya uwekezaji katika mashamba ya mifugo vinapotangazwa badala ya kuwaachia watu kutoka nje. Aidha, Wizara ya Fedha imesema itatoa Sh bilioni 10.5 kati ya takribani Sh bilioni 20 zilizosalia ambazo zilitengwa katika bajeti ya mwaka wa fedha 2013/14 ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ili kukamilisha baadhi ya miradi ya maendeleo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRfgzkddG9BHSifj9qMfvmCETXAvV8pgO430hKdm4IyfBK5HP2VJ*mbmoWWef9C8FdfifdQlg*sPsfZ*GxUCmV9P/mengi.jpg?width=640)
TAARIFA RASMI YA DKT. REGINALD A. MENGI MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP LIMITED YENYE KUJIBU MAELEZO YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA MUHONGO KUHUSU HODHI YA VITALU
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mwekezaji vitalu vya uwindaji apigwa ‘stop’
BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, mkoani Tabora, limewakataa mwekezaji, Shen na wenzake Wembele Hunting Safaris wanaofanya kazi za uwindaji katika pori la misitu ya hifadhi iliyoko...
10 years ago
Habarileo29 Jan
Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018
MAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.
9 years ago
MichuziSERIKALI KUNYANG’ANYA VITALU VYA MADINI VILIVYOHODHIWA.
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mengi atetea wazawa kumiliki gesi
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Magufuli: Nakerwa na vigezo vya uzoefu kuomba ajira
10 years ago
Habarileo10 Oct
Kinana azuia vigogo kuomba vibali vya magogo
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa CCM na wale wa Serikali Kuu na mitaa kutojihusisha na uombaji wa vibali vya kuvuna magogo katika shamba la Serikali la Sao Hill, iwapo wanataka kutenda haki kwa wananchi wanyonge.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s640/jk823.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riMQ3-qlTZs/VSkgUxBCNEI/AAAAAAAAaaY/zFfW6l5uG-s/s640/jk89.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVxR5UeiMtw/VSkgW24dBCI/AAAAAAAAaao/0WxrEGDQO4Q/s640/meng879.jpg)