Magufuli: Nakerwa na vigezo vya uzoefu kuomba ajira
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema iwapo atapewa ridhaa ya kuingia Ikulu atapambana kuhakikisha Watanzania wengi wanapata ajira na kwamba anakerwa sana na kigezo cha mtu kuwa na uzoefu ndio apatiwe ajira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo31 Mar
‘Utoaji ajira hauzingatii uzoefu wa mwajiriwa’
SERIKALI imesisitiza kuwa katika kutoa ajira, haizingatii uzoefu wa mwajiriwa kwa mujibu wa Sera ya Menejimenti na Ajira katika Utumishi wa Umma ya mwaka 1999 Toleo la mwaka 2008, isipokuwa katika baadhi ya nafasi za juu.
11 years ago
Habarileo08 Apr
Kamani kuomba ajira zaidi maofisa ugani
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amesema ataendelea kuwasiliana na Wizara ya nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Menejimenti ya Umma ili kuweza kupata kibali cha kuajiri watumishi zaidi hasa maofisa ugani wa mifugo.
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Baada ya Masomo,Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
10 years ago
Habarileo09 Jun
Mangula ataja vigezo 13 vya urais
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula amesema vigezo 13, vitatumika kuwachuja wanachama wa chama hicho ambao wameomba kugombea urais CCM.
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Zanzibar mbioni kufikia vigezo vya WHO
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Dr.-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, katika miaka michache ijayo, Zanzibar itakuwa na madaktari wa kutosha kufikia uwiano uliopendekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) wa angalau daktari mmoja kuhudumia wagonjwa 10,000 kwa nchi zinazoendelea.
Dk. Shein ametoa kauli hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika mahafali...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPyPtoDRL6MuSaRy3KQAo2P2R7CRHtMPrg2ZLNnTSl61t4Hq4oakTGzxtwmUFwHRhtkyV3GGg958kYW2Pm1eGO00/rayc.jpg?width=650)
RAY C AANIKA VIGEZO VYA MUMEWE MTARAJIWA
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Msiajiri kwa vigezo vya undugu-mkurugenzi