Mangula ataja vigezo 13 vya urais
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula amesema vigezo 13, vitatumika kuwachuja wanachama wa chama hicho ambao wameomba kugombea urais CCM.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ridhiwani ataja 11 wanaotosha kugombea urais 2015
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Mbunge ataja wanawake wanaofaa kuwania urais
MBUNGE wa Viti Maalumu, Anna Abdallah (CCM), amewataja wanawake watatu anaoona wanafaaa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani. Akizungumza katika kipindi cha Medani za Wanasiasa na Uchumi, kinachorushwa na kituo...
11 years ago
Mtanzania29 Sep
Zanzibar mbioni kufikia vigezo vya WHO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, katika miaka michache ijayo, Zanzibar itakuwa na madaktari wa kutosha kufikia uwiano uliopendekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) wa angalau daktari mmoja kuhudumia wagonjwa 10,000 kwa nchi zinazoendelea.
Dk. Shein ametoa kauli hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika mahafali...
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Msiajiri kwa vigezo vya undugu-mkurugenzi
11 years ago
GPL
RAY C AANIKA VIGEZO VYA MUMEWE MTARAJIWA
10 years ago
Mwananchi28 Sep
Magufuli: Nakerwa na vigezo vya uzoefu kuomba ajira
11 years ago
Tanzania Daima01 May
JK ametumia vigezo gani vya madaraja nishani za Muungano?
MWANZONI mwa wiki hii Rais Jakaya Kikwete aliwatunuku nishani viongozi mbalimbali waliotumikia taifa hili kwa nyakati tofauti. Rais Kikwete alitunuku nishani hizo kama sehemu ya kumbukumbu ya maadhimisho ya miaka...
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Uingereza yashauri kuhusu vigezo vya walimu nchini
9 years ago
Michuzi
VODACOM YAKIDHI VIGEZO VYA UTOAJI WA HUDUMA YA MAWASILIANO-TCRA

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Vodacom imekidhi vigezo vya utoaji huduma kwa wateja huku makampuni matano yakipigwa adhabu ya sh.milioni 25 kutokana kulaghai wateja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba amesema kuwa...