Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ataja wanawake wanaofaa kuwania urais

MBUNGE wa Viti Maalumu, Anna Abdallah (CCM), amewataja wanawake watatu anaoona wanafaaa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu mwakani. Akizungumza katika kipindi cha Medani za Wanasiasa na Uchumi, kinachorushwa na kituo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BALOZI ALI KARUME ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ATAJA ATAKAYOANZA AKIPATA RIDHAA YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...

 

10 years ago

Habarileo

Sophia Simba athibitisha wanawake kuwania Urais

Sophia SimbaWAZIRI wa Mendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema wapo wanawake wengi wenye sifa ya kushika nafasi ya Urais na kwamba muda utakapowadia watajitangaza.

 

10 years ago

Mwananchi

KINYANG'ANYIRO CHA URAIS: wanawake watano wajitosa kuwania

Wakati joto la mbio za kuwania urais likiendelea kuisisimua nchi, Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (Ulingo), kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba, umesema tayari wameandaa majina matano ya wanawake kuwania nafasi hiyo baadaye mwaka huu.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE YOSEPHER AWAPA MBINU WANAWAKE WANAOTAKA KUWANIA NAFASI ZA UONGOZI UCHAGUZI MKUU

  Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (Chadema) na Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini  Yosepher Komba  akizungumza na washiriki wa semina maalumu kwa wasichana mkoani Tanga  iliyoandaliwa na Shirika lisilokuwa la kiserikali la Wanawake na Uongozi yenye makao makuu yake Jijini Dar es Saalam
 Makamu Mwenyekiti wa Chama Demokrasia na Maendeleo Chadema Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia Chama hicho Yosepher Komba akiwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMAA MHINA 'PIJEI' ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KAWE, ATAJA VIPAUMBELE VYAKE

Hapa ikionesha fomu baada ya kukabidhiwa. Kada wa CCM Jumaa Mhina 'Pijei' (katikati), akipokea fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, kutoka kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe leo mchana. Anaye shuhudia kulia ni Kada wa chama hicho anayewania ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM, Ramadhan Ndanga 'Potipoti'. Katibu wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Athuman Sheshe (kushoto), akimpa maelezo ya kufuata baada ya kukabidhiwa fomu hizo.
Waandishi wa habari...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

10 years ago

Mwananchi

Angel ataja sababu zinazowakwamisha wanawake kimuziki

Msanii aliyewahi kutamba katika Mashindano ya Tusker Project Fame 2013, Angella Karashani maarufu Angel, amesema kuwa uhaba wa mameneja wa kike ni miongoni mwa sababu zinazokwamisha maendeleo ya muziki kwa wanawake nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mangula ataja vigezo 13 vya urais

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip MangulaMAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula amesema vigezo 13, vitatumika kuwachuja wanachama wa chama hicho ambao wameomba kugombea urais CCM.

 

11 years ago

Mwananchi

Ridhiwani ataja 11 wanaotosha kugombea urais 2015

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ametaja majina 11 ya wanachama wa CCM wanaofaa kuwania urais kurithi kiti cha baba yake, Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani