KINYANG'ANYIRO CHA URAIS: wanawake watano wajitosa kuwania
Wakati joto la mbio za kuwania urais likiendelea kuisisimua nchi, Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (Ulingo), kwa kushirikiana na Mtandao wa Wanawake na Katiba, umesema tayari wameandaa majina matano ya wanawake kuwania nafasi hiyo baadaye mwaka huu.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania