Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uingereza yashauri kuhusu vigezo vya walimu nchini

Serikali imeshauriwa kuzingatia ubora na vigezo vya kitaaluma wakati wa kuajiri walimu na siyo kuajiri kwa kufuata idadi ya wahitimu katika fani hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Alichosema waziri wa Uingereza kuhusu ujangili nchini

Tunakabiliwa na janga. Faru wanauawa na maharamia kila baada ya dakika 10 na ni wachache kuliko chui 3,500 ambao wamebaki porini.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KUHUSU MKUTANO WA DIASPORA NCHINI UINGEREZA 2014

 Siku ya Jumamosi tarehe 22 Februari 2014 kilifanyika kikao baina ya Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Peter Kallaghe pamoja na wawakilishi wa Watanzania kutoka vitongoji vya London na maeneo mengine nchini Uingereza.Kikao hicho kilijadili haja ya kuandaa Mkutano wa Diaspora nchini Uingereza mwaka huu 2014.  Katika majadiliano ilisisitizwa umuhimu wa kuwa na mikutano ya Diaspora hasa kwa malengo makuu yafuatayo:  • Kuwaleta karibu watanzania waishio maeneo mbalimbali nchini...

 

9 years ago

Mwananchi

ACT yashauri taka zizalishe ajira nchini

Chama cha ACT Wazalendo kimeishauri Serikali kuhakikisha suala la usafi wa mazingira nchini linakuwa endelevu na kutafuta njia mbadala ya kuzalisha ajira na kukuza uchumi wa nchi.

 

10 years ago

Dewji Blog

UNESCO watoa mafunzo ya Tehama kwa walimu wa vyuo vya ualimu nchini

DSC_0449

Head of India Tanzania Center of Excellence in ICT (DIT), Dr. Amos Nungu akiwakaribisha wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), wakufunzi pamoja na walimu waliofika kwenye mafunzo ya elimu  kwa njia ya mtandao.(Picha zote na Geofrey Adroph wa pamoja blog).

Afisa mipango kutoka UNESCO, Bi Faith Shayo akimkaribisha Ofisa anayeshughulikia na masuala ya Elimu Kitaifa wa UNESCO, Tumsifu Mmari (wa kwanza kutoka kushoto) wakati wa ufunguzi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

UNESCO WATOA MAFUNZO YA TEHAMA KWA WALIMU WA VYUO VYA UALIMU HAPA NCHINI

 Head of India Tanzania Center of Excellence in ICT (DIT), Dr. Amos Nungu akiwakaribisha wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), wakufunzi pamoja na walimu waliofika kwenye mafunzo ya elimu kwa njia ya mtandao.(Picha zote na Geofrey Adroph wa pamoja blog). Afisa mipango kutoka UNESCO, Bi Faith Shayo akimkaribisha Ofisa anayeshughulikia na masuala ya Elimu Kitaifa wa UNESCO, Tumsifu Mmari (wa kwanza kutoka kushoto) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya...

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kupokea msaada wa hundi ya milioni kumi kutoka Zantel kwa ajili ya Chama cha Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) leo jijini Dar es Salaaam, kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (kulia), Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose (kushoto) pamoja na ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani