Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mengi atetea wazawa kumiliki gesi

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, amesema hoja kwamba Watanzania hawana mtaji wa kumiliki vitalu vya gesi si sahihi kwa kuwa gesi yenyewe ni mtaji wa kutosha kwa Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Miaka 22 ya wageni kumiliki sasa zamu ya wazawa

Tanzanite ni madini adimu yanayochimbwa eneo moja tu duniani ambalo ni Mererani katika Wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara.

 

10 years ago

Mwananchi

MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART

>Wakati utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini ulipofikia ukomo na mwaka 1994, uongozi mpya wa Chama cha ANC chini ya  Mzee Nelson Mandela, ulikumbana na changamoto kubwa ya kuwawezesha kiuchumi Waafrika walio wengi.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Mengi akana kumiliki eneo kubwa la madini

MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni za IPP Limited, Dk Reginald Mengi amekanusha kumiliki eneo kubwa la migodi. Akizungumza jana, Mengi alisema eneo analomiliki kwa ubia na Watanzania wenzake ni mgodi mmoja wa uchimbaji wa madini ya tanzanite lisilofikia hata kilometa moja ya mraba.

 

10 years ago

Mwananchi

Gesi kuwafaidisha wazawa

Watanzania wataanza kunufaika na gesi asilia mwakani baada ya megawati 1,500 za umeme unaotokana na gesi asilia pekee kuanza kuzalishwa, jambo linaloelezwa kuwa litapunguza gharama kwa watumiaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Zabuni za gesi zimetoka, wazawa zichangamkie

Serikali imezindua rasmi zabuni ya nne ya vitalu vya utafiti wa mafuta na gesi asilia. Uzinduzi huo unaohusisha vitalu saba, sita vikiwa Bahari Kuu na kimoja kikiwa Ziwa Tanganyika ulifanyika mwishoni mwa mwezi uliopita, chini ya uratibu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) kwa niaba ya Serikali. Tunaambiwa kwamba mchakato wa zabuni hiyo utafungwa rasmi baada ya miezi sita, yaani Mei 15, 2014.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria kuwezesha wazawa kwenye gesi yaja

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kuandaaa sheria, kanuni na taratibu kwa ajili ya uwekezaji wenye tija kwa wazawa katika sekta ya gesi na mafuta....

 

11 years ago

Mwananchi

Mengi: Sikuwahi kuomba upendeleo vitalu vya gesi

Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi amesema hajawahi kuomba upendeleo wa kupewa vitalu vya gesi na kwamba, siku zote anapigania masilahi ya Watanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI

She changed her name from Jacqueline Ntuyabaliwe to Jacqueline Mengi....... "Life isn't happening to you; life is responding to you."-this is her new tagline on Instagram 

 

5 years ago

BBCSwahili

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania

Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani