Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zabuni za gesi zimetoka, wazawa zichangamkie

Serikali imezindua rasmi zabuni ya nne ya vitalu vya utafiti wa mafuta na gesi asilia. Uzinduzi huo unaohusisha vitalu saba, sita vikiwa Bahari Kuu na kimoja kikiwa Ziwa Tanganyika ulifanyika mwishoni mwa mwezi uliopita, chini ya uratibu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) kwa niaba ya Serikali. Tunaambiwa kwamba mchakato wa zabuni hiyo utafungwa rasmi baada ya miezi sita, yaani Mei 15, 2014.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Gesi kuwafaidisha wazawa

Watanzania wataanza kunufaika na gesi asilia mwakani baada ya megawati 1,500 za umeme unaotokana na gesi asilia pekee kuanza kuzalishwa, jambo linaloelezwa kuwa litapunguza gharama kwa watumiaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Mengi atetea wazawa kumiliki gesi

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, amesema hoja kwamba Watanzania hawana mtaji wa kumiliki vitalu vya gesi si sahihi kwa kuwa gesi yenyewe ni mtaji wa kutosha kwa Watanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sheria kuwezesha wazawa kwenye gesi yaja

RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kuandaaa sheria, kanuni na taratibu kwa ajili ya uwekezaji wenye tija kwa wazawa katika sekta ya gesi na mafuta....

 

9 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

9 years ago

Habarileo

Zabuni za kupeana zamchefua JK

RAIS Jakaya Kikwete amekemea tabia ya kugawana zabuni kwa `kujuana’, tena bila ya kuzingatia uwezo wa kampuni zinazopewa kazi mbalimbali za serikali, ikiwamo ujenzi wa barabara nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kabwe alia na zabuni za rushwa

Wakati Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe akitaka waziri anayehusika na kusimamia Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) achukuliwe hatua kutokana na zabuni yenye harufu ya rushwa, imebainika kuwa hukumu iliyotolewa na Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA), imesema kampuni iliyoshinda zabuni hiyo ilishiriki kuandaa nyaraka za zabuni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa

SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Zabuni zatafuna mabilioni ya fedha nchini

>Wakati matukio kadhaa ya ufisadi wa mamilioni ya fedha za umma yakiwa bado yanaendelea kujadiliwa nchini, imeelezwa kuwa Serikali hupoteza kiasi kikubwa cha fedha kwenye zabuni.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yatangaza zabuni Kura ya Maoni

Uwezekano wa Kura ya Maoni kufanyika mwaka huu na hasa sambamba na Uchaguzi Mkuu, umeanza kujionyesha baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza zabuni za ununuzi wa vifaa vitakavyotumika kwenye shughuli hiyo, zikiwamo karatasi za kupigia kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani