Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa
SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Serikali iangalie upya ‘Uwindaji wa Kitalii’
10 years ago
Habarileo29 Jan
Vitalu vya uwindaji wa kitalii mwisho 2018
MAMLAKA ya wanyamapori nchini inatarajia kusitisha umiliki wa vitalu vya uwindaji wa kitalii nchini, ifikapo mwaka 2018, jambo litakalosaidia mamlaka hiyo kumiliki mapori yote ya akiba na kuwa na uwezo wa kubadilisha sera ya matumizi ya mapori hayo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4oy2FSO8Gzs/U7blshbLEHI/AAAAAAAFvAs/SB84DfygJeM/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Waziri Nyalandu atembelea Idara ya Uwindaji wa Kitalii Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-4oy2FSO8Gzs/U7blshbLEHI/AAAAAAAFvAs/SB84DfygJeM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tn5TU1NME6I/U7bltHae8kI/AAAAAAAFvBM/tmPJ56P6nPM/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_kf4vHwNi4/U7bltO_LK2I/AAAAAAAFvAw/b0FSG1DYbVU/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWEffiYCaxI/U7blt6YA9AI/AAAAAAAFvA0/dIhls-G3fUM/s1600/unnamed+(32).jpg)
10 years ago
Vijimambo15 Nov
UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-VbL769tY46U%2FVGay1TdKAGI%2FAAAAAAADNAw%2FyyGk9jZiG44%2Fs1600%2F149108.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.
UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Wanasoka wa nje kupunguzwa England
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Gharama ya kupiga simu kupunguzwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10