Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasoka wa nje kupunguzwa England

Shirikisho la soka nchini England FA sasa linakusudia kuandaa sheria itakayo kupunguza idadi ya wachezaji kutoka nje ya nchi za Umoja wa Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: England nje, Ghana, Nigeria kazini

>Timu ya taifa ya England imeaga rasmi fainali za Kombe la Dunia baada ya Costa Rica kuichapa Italia kwa bao 1-0, katika mchezo wao wa jana.

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

11 years ago

Habarileo

Uwindaji wa kitalii wa tembo kupunguzwa

SERIKALI imeamua kuanzia Julai mwaka huu kupunguza uwindaji wa kitalii wa tembo kwa asilimia 50 ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupunguza upotevu wa idadi ya Tembo nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Gharama za kupima ardhi kupunguzwa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviSERIKALI imesema katika mwaka ujao wa fedha itapunguza gharama za upimaji ardhi kwa zaidi ya nusu ili kuwawezesha wanachi kupima maeneo yao, hali ambayo inaonekana itapunguza migogoro ya ardhi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uzazi wa upasuaji kupunguzwa Brazil

Asilimia 85 ya wanawake Brazil hujifungua watoto kupitia njia ya upasuaji katika hospitali binafsi

 

10 years ago

BBCSwahili

Gharama ya kupiga simu kupunguzwa

Watuamiaji wa simu za mkononi nchini Kenya,Rwanda na Uganda hivi karibuni watakuwa wakipiga simu kwa bei nafuu.

 

9 years ago

Mwananchi

Waandamana kupinga kupunguzwa kazini

Wafanyakazi wa kampuni ya TanzaniteOne wameandamana kupinga uongozi wa kampuni hiyo kutaka kuwapunguza wafanyakazi 635 bila taratibu za kisheria, kwa madai kuwa wanajiendesha kwa hasara na wao kupoteza haki zao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Wanasoka mahiri kusaidia WHO

Chiristiano Ronaldo wa Real Madrid, Neymar wa Barcelona, Didier Drogba wa Chelsea na Philip Lahm wa Bayern Munich waunga mkono juhudi za kimataifa katika kuhamasisha dunia kuhusu Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Talgwu yapinga mafao ya wastaafu kupunguzwa

Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kimepinga uamuzi wa Serikali kupunguza mafao ya wastaafu serikalini na kutishia kuchukua hatua za kisheria iwapo utaratibu wa zamani hautarejeshwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani