Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Wanasoka mahiri kusaidia WHO

Chiristiano Ronaldo wa Real Madrid, Neymar wa Barcelona, Didier Drogba wa Chelsea na Philip Lahm wa Bayern Munich waunga mkono juhudi za kimataifa katika kuhamasisha dunia kuhusu Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia kupambana na Ebola

Marekani imesema itapeleka vifaa vya kijeshi, kusaidia kupambana na ugonjwa wa Ebola uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bill Gates kusaidia kupambana na Ebola

Mfuko wa Bill na Melinda Gates kuchangia dola milioni 5.7 kupambana na Ebola

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watanzania kwenda kusaidia ebola Sierra Leone, Liberia

TANZANIA imepata madaktari watano waliojitolea kwenda nchi za Sierra Leone na Liberia kusaidia kutoa huduma ya ugonjwa wa ebola. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana, Mganga...

 

10 years ago

Bongo5

Mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg achangia shilingi bilioni 42 kusaidia mapambano dhidi ya Ebola

Mwanzilishi na CEO wa mtandao maarufu wa kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg ameamua kushiriki katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ebola, kwa kuchangia dola milioni 25 sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 42. Zuckerberg mwenye utajiri unaokadiriwa kufikia dola bilioni 30, alitangaza msaada huo kupitia ukurasa wake wa Facebook. “Priscilla and I are donating $25 […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanasoka wa nje kupunguzwa England

Shirikisho la soka nchini England FA sasa linakusudia kuandaa sheria itakayo kupunguza idadi ya wachezaji kutoka nje ya nchi za Umoja wa Ulaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasoka wanaotisha katika mitindo ya mavazi

Mpira wa miguu ni mchezo maarufu sana duniani, uliosheheni sio tu watu maarufu bali walio mahiri katika tasinia nyingine ikiwamo mitindo.

 

9 years ago

Bongo5

Wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani

Hii ni orodha ya wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani hii ni kwa mujibu wa ttandao wa www.sokkaa.com umetoa orodha hii ‘Most Handsome Footballers in the World’ 10. Mats Hummels-Borussi Drtmund Ni mchezaji wa kijerumani anaye chezea klabu ya Dortimnd ambaye ni nahodha wa kikosi hicho 9. Gerrard Piqué–FC Barcelona Gerrard Pique anakamata nafasi ya […]

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasoka wa Afrika wasambaa kila kona duniani

Ni hali ambayo imekuwa kama kawaida kwa wachezaji wa Afrika kutafuta kwenye klabu mbalimbali barani Ulaya.

 

10 years ago

Michuzi

Chama cha wanasoka Temeke chapewa msaada

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Ndg Phares Magesa akiwa na kiongozi wa chama cha wachezaji wa soka Temeke Ndg. Kapilima akimkabidhi mchango kusaidia kuimarisha chama hicho wilayani Temeke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani