Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasoka wa Afrika wasambaa kila kona duniani

Ni hali ambayo imekuwa kama kawaida kwa wachezaji wa Afrika kutafuta kwenye klabu mbalimbali barani Ulaya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi Ukimwi ulivyoanza hata kusambaa kila kona duniani

Wakati ugonjwa wa ukimwi ukipamba moto katika mataifa mengi ya Afrika, miaka ya 1980, ilizuka hofu kubwa na maswali mengi juu ya lilikoanzia.

 

11 years ago

Mwananchi

Ibada ya maombi kila kona Afrika Kusini

Afrika Kusini, jana ilitawaliwa na ibada na maombi yaliyofanyika katika makanisa mbalimbali kuliombea taifa, baada ya kifo cha Rais wa Kwanza mzalendo, Nelson Mandela.

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

9 years ago

Bongo5

Wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani

Hii ni orodha ya wanasoka 10 wenye mvuto zaidi Duniani hii ni kwa mujibu wa ttandao wa www.sokkaa.com umetoa orodha hii ‘Most Handsome Footballers in the World’ 10. Mats Hummels-Borussi Drtmund Ni mchezaji wa kijerumani anaye chezea klabu ya Dortimnd ambaye ni nahodha wa kikosi hicho 9. Gerrard Piqué–FC Barcelona Gerrard Pique anakamata nafasi ya […]

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa kila kona

Hakuna shaka kwamba jina la Edward Lowassa, ndilo linalozungumzwa zaidi kwenye kampeni za urais zinazoendelea sasa hivi iwe kwa mazuri au mabaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Majanga kila kona

Majanga kila kona, ndicho kilichotokea jana, baada ya kuwashuhudia Yanga na Azam wakipokea vipigo ugenini huku Simba wakilazimishwa sare ya sita msimu huu.

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI KILA KONA

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Abdulsalama Amer (Sas gas) akimsikiliza mmoja wa waasisi wa Chama cha Tanu na aliyewahi kuwa katibu wa Tawi la Tundu Kidodi wa chama hicho, Bi. Faina Ngwira (80) alipokuwa akisoma Gazeti la Championi, mbunge huyo alikuwa kwenye ziara ya kukagua mradi wa maji safi kwenye kata hiyo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, hivi karibuni. (Picha: Fadhil Chitembedja) ...

 

10 years ago

Habarileo

Mafuriko kila kona

Mkazi wa Jangwani, Dar es Salaam, Oscar Albert akionesha namna mafuriko yalivyoathiri makazi yake kufuatia mvua zilizonyesha jijini jana. (Picha na Fadhili Akida).MVUA kubwa iliyonyesha jijini Dar es Salaam kuanzia juzi, imesababisha mafuriko na kuua watu watatu, kuharibu nyumba kadhaa na miundombinu ya barabara na maji katika sehemu mbalimbali.

 

9 years ago

MillardAyo

Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video)

Imekuwa ni kawaida kukumbushana vitu mbalimbali vinayohusu soka mtu wangu wa nguvu na leo December 22, nimeona sio vibaya nikikusogezea list ya mastaa wa soka waliotamba na ambao bado wanatamba kwa kupiga mashuti makali golini mwa timu pinzani. Hii ndio list ya mastaa watano wa soka wanaongoza kwa kupiga mashuti golini. Roberto Carlos hakuna ambaye hamfahamu huyu […]

The post Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani