Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fahamu jinsi Ukimwi ulivyoanza hata kusambaa kila kona duniani

Wakati ugonjwa wa ukimwi ukipamba moto katika mataifa mengi ya Afrika, miaka ya 1980, ilizuka hofu kubwa na maswali mengi juu ya lilikoanzia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanasoka wa Afrika wasambaa kila kona duniani

Ni hali ambayo imekuwa kama kawaida kwa wachezaji wa Afrika kutafuta kwenye klabu mbalimbali barani Ulaya.

 

10 years ago

Bongo5

Umaliziaji wako ndio utakaokupa heshima na sio jinsi ulivyoanza

Kuanza vizuri hakuna sifa kubwa kama kumaliza vizuri. Watu wengi huwa tunapenda kuanza kwa mbwembwe na matarumbeta mengi sana lakini tunashindwa kumalizia kila tunachokifanya vizuri. Ukifuatilia historia ya watu wengi ni kwamba walianza vizuri lakini wakashindwa kumalizia vizuri na watu wakawadharau kwa umaliziaji wao mbovu. Haijalishi umeanzaje bali utakavyomalizia itatupa picha wewe ni mtu wa […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia. JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANAKwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu. Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/ UKIMWI

Wiki hii tunachambua Virusi vya Ukimwi (VVU) na ugonjwa wenyewe, tutaangalia hatua kwa hatua hadi mgonjwa anaonekana kuwa ana Ukosefu wa Kinga Mwilini (Ukimwi). Ili mtu ajulikane kuwa ana VVU /Ukimwi, atapitia hatua nne za lazima kama nitakavyoziainisha.
Hatua ya kwanza hujulikana kitaalam kama Primary HIV Infection ambapo mgonjwa hudumu nayo kwa wiki nne baada ya maambukizi. Watu walio katika maambuki katika hatua hii ni...

 

11 years ago

GPL

FAHAMU JINSI YA KUJITIBU KWA MAJI TU

Maradhi ya muda mrefu na mfupi yanayosababisha vifo, yanaweza kupona kwa njia rahisi sana.  Njia hii si nyingine bali ni maji ya kunywa. imeelezwa na wataalamu kwamba mtu anaweza kujitibu maradhi ya muda mrefu na mfupi kama haya yafuatayo:- Kuumwa kichwa (headache), shinikizo la damu (BP), upungufu wa damu (Anaemia), kupooza, unene (obesity), mapigo ya haraka ya moyo na kuzimia.
Kikohozi, kuumwa na koo (Bronchitis), pumu na...

 

10 years ago

Mwananchi

Majanga kila kona

Majanga kila kona, ndicho kilichotokea jana, baada ya kuwashuhudia Yanga na Azam wakipokea vipigo ugenini huku Simba wakilazimishwa sare ya sita msimu huu.

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI KILA KONA

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Abdulsalama Amer (Sas gas) akimsikiliza mmoja wa waasisi wa Chama cha Tanu na aliyewahi kuwa katibu wa Tawi la Tundu Kidodi wa chama hicho, Bi. Faina Ngwira (80) alipokuwa akisoma Gazeti la Championi, mbunge huyo alikuwa kwenye ziara ya kukagua mradi wa maji safi kwenye kata hiyo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, hivi karibuni. (Picha: Fadhil Chitembedja) ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani