Umaliziaji wako ndio utakaokupa heshima na sio jinsi ulivyoanza
Kuanza vizuri hakuna sifa kubwa kama kumaliza vizuri. Watu wengi huwa tunapenda kuanza kwa mbwembwe na matarumbeta mengi sana lakini tunashindwa kumalizia kila tunachokifanya vizuri. Ukifuatilia historia ya watu wengi ni kwamba walianza vizuri lakini wakashindwa kumalizia vizuri na watu wakawadharau kwa umaliziaji wao mbovu. Haijalishi umeanzaje bali utakavyomalizia itatupa picha wewe ni mtu wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Jinsi ya kumfunza mtoto wako heshima
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Fahamu jinsi Ukimwi ulivyoanza hata kusambaa kila kona duniani
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZahK2JNbKSvrIuNplU5DBluxzKeM5icyYqFGJSR-k3zlaA7x463hd67hGQphSDi1x6tuErCytaojr1P5wZxsIucs7ZBo6-Oq/Happycouplebed008.jpg?width=650)
HESHIMA NI UWEZO WAKO WA FARAGHA-2
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFXu02t5JsWa2L3g-nGz3B-I1AUOP20*UNsDBy6jGTMrimnwjorGAzM2oeGr5gTXCiNstixRSpfVyMvgmmWUqcD*/042514HealthHappyCouplesCuddleatNight.jpg?width=650)
HESHIMA NI UWEZO WAKO WA FARAGHA
10 years ago
Bongo Movies21 Dec
Lulu:Kuwa Mama ni Heshima Sio Kuzeeka, Nipo Njiani
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael “LULU” ameamua kufunguka na kusema mtazamo wake kuhusu swala la wasichana kuogopa/kukataa kuzaa kwakuofia kuwa watazeeka.
“Kwa akili Yangu ndogo... Nadhani kuwa Mzazi(Mama)ni heshima kubwa na Sio kuzeeka kama wasichana wengi wanavyofikiria....! Shout Out kwa Kila mwanamke aliyefanikisha kupata Heshima Hiyo...! Heshima kwa Mama wote Duniani ….Wengine Tuko njiani Inshallah”
Lulu aliweka bandiko hilo mtandaoni baada yakuweka...
10 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!
WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?
9 years ago
Bongo514 Sep
Video: Hemedy ana ushauri kwa wanaume wa jinsi ya kumfanya mpenzi wako asikuache kamwe!
11 years ago
GPLVITUO VYAHITAJI UMALIZIAJI