Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umaliziaji wako ndio utakaokupa heshima na sio jinsi ulivyoanza

Kuanza vizuri hakuna sifa kubwa kama kumaliza vizuri. Watu wengi huwa tunapenda kuanza kwa mbwembwe na matarumbeta mengi sana lakini tunashindwa kumalizia kila tunachokifanya vizuri. Ukifuatilia historia ya watu wengi ni kwamba walianza vizuri lakini wakashindwa kumalizia vizuri na watu wakawadharau kwa umaliziaji wao mbovu. Haijalishi umeanzaje bali utakavyomalizia itatupa picha wewe ni mtu wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumfunza mtoto wako heshima

Unaelewa nini unaposikia neno heshima? Umewahi kufikiria jinsi gani unaweza kumlea mwanao katika misingi ya heshima? Heshima huanzia wapi hasa?

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi Ukimwi ulivyoanza hata kusambaa kila kona duniani

Wakati ugonjwa wa ukimwi ukipamba moto katika mataifa mengi ya Afrika, miaka ya 1980, ilizuka hofu kubwa na maswali mengi juu ya lilikoanzia.

 

9 years ago

GPL

HESHIMA NI UWEZO WAKO WA FARAGHA-2

Karibu mpenzi msomaji wa safu hii pendwa ya XXLove tuendelee kupeana ‘maujuzi’ kwenye nyanja nzima ya uhusiano kwa jumla.  Wiki iliyopita tulianza mada yetu hii ambayo leo nawaletea maoni mbalimbali ya wasomaji walivyopokea mada yetu ya namna ya kuweka heshima kwa mwenzio ambayo hutokana na uwezo wako wa faragha unapokuwa na mwenza wako.
Kwanza nashukuru kwa wale wote waliopiga simu na kutuma ujumbe mfupi kwa kupongeza,...

 

9 years ago

GPL

HESHIMA NI UWEZO WAKO WA FARAGHA

Mdau wa kona hii, mada ya wiki hii inazungumzia heshima ya mtu kwa mpenzi wake ni uwezo wake wa kumdhibiti mwenza wake wanapokuwa faragha. Kwa maana nyingine namaanisha kuteka hisia za mpenzi wako mnapokuwa kwenye dimbwi la mahaba. Mapenzi ni utundu Mapenzi yanahitaji ubunifu na utundu wa hali ya juu sana kwani sehemu kubwa ya heshima ya mwanadamu kwa mwenza wake inapatikana wakati wa faragha. Mapenzi usahaulisha shida
...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu:Kuwa Mama ni Heshima Sio Kuzeeka, Nipo Njiani

Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa nchini, Elizabeth Michael “LULU” ameamua kufunguka na kusema mtazamo wake kuhusu swala la wasichana kuogopa/kukataa kuzaa kwakuofia kuwa watazeeka.

“Kwa akili Yangu ndogo... Nadhani kuwa Mzazi(Mama)ni heshima kubwa na Sio kuzeeka kama wasichana wengi wanavyofikiria....! Shout Out kwa Kila mwanamke aliyefanikisha kupata Heshima Hiyo...! Heshima kwa Mama wote Duniani ….Wengine Tuko njiani Inshallah”

Lulu aliweka bandiko hilo mtandaoni  baada yakuweka...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tumia muda wako kujenga maisha yako sio kubomoa ya wengine!

WAHENGA walisema, akili ni nywele na kila mtu ana zake, kwa msemo huo, mimi binafsi nakubaliana nao moja kwa moja kwa kuwa katika hali ya kawaida kila binadamu ana nywele...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?

Je unashiriki vipi katika kujifunza kwa mtoto wako katika mwaka mpya wa masomo?

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hemedy ana ushauri kwa wanaume wa jinsi ya kumfanya mpenzi wako asikuache kamwe!

Hemedy PHD amejifunza kuwa kutulia na mpenzi mmoja, kuwa mwaminifu, kumpa muda wako mwingi haitoshi kumfanya mwanamke awe na furaha. Akiongea na Round Up, Hemedy amesema amegundua kuwa kuna vitu vingine vinavyoonekana kuwa ni vidogo lakini ni sumu katika uhusiano. “Ni tabia ndogo ndogo za wivu, ukorofi, ni vitu ambavyo mimi nilikuwa navyo ambavyo nilikuwa […]

 

11 years ago

GPL

VITUO VYAHITAJI UMALIZIAJI

Hiki ni kituo cha Afrikana. Hiki ni kituo cha Mbuyuni. Hiki ni kituo kingine ambavyo hiki pamoja na vingine vyote havina paa kwa juu kuzuia…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani