Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HESHIMA NI UWEZO WAKO WA FARAGHA

Mdau wa kona hii, mada ya wiki hii inazungumzia heshima ya mtu kwa mpenzi wake ni uwezo wake wa kumdhibiti mwenza wake wanapokuwa faragha. Kwa maana nyingine namaanisha kuteka hisia za mpenzi wako mnapokuwa kwenye dimbwi la mahaba. Mapenzi ni utundu Mapenzi yanahitaji ubunifu na utundu wa hali ya juu sana kwani sehemu kubwa ya heshima ya mwanadamu kwa mwenza wake inapatikana wakati wa faragha. Mapenzi usahaulisha shida
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

HESHIMA NI UWEZO WAKO WA FARAGHA-2

Karibu mpenzi msomaji wa safu hii pendwa ya XXLove tuendelee kupeana ‘maujuzi’ kwenye nyanja nzima ya uhusiano kwa jumla.  Wiki iliyopita tulianza mada yetu hii ambayo leo nawaletea maoni mbalimbali ya wasomaji walivyopokea mada yetu ya namna ya kuweka heshima kwa mwenzio ambayo hutokana na uwezo wako wa faragha unapokuwa na mwenza wako.
Kwanza nashukuru kwa wale wote waliopiga simu na kutuma ujumbe mfupi kwa kupongeza,...

 

9 years ago

GPL

VYAKULA VINAVYOWEZA KUMPA HESHIMA MWANAUME FARAGHA!

Wanawake wengi walio kweye ndoa wanalalamikia uvivu wa waume zao wanapokutana faragha. Utasikia mwanamke akisema kuwa mumewe ni mchomvu hali inayomfanya wakati mwingine apate mawazo ya kumsaliti. Hiki siyo kitu kizuri na nimekuwa nikisema mara kwa mara kwamba, wanandoa wana jukumu la kushibishana chakula cha usiku bila visingizio. Kama mke au mume ana tatizo ‘sirias’ linalomfanya asiwe fiti, ni vyema jitihada zikafanyika ili...

 

10 years ago

GPL

UNAPOKUWA FARAGHA NA MWENZA WAKO, NI MAZUNGUZO GANI YANAFAA?

Ni matumaini yangu kwamba mpenzi msomaji wangu uko poa na unaendelea na majukumu yako kama kawaida.Ni wakati mwingine tunapokutana katika busati letu la mahaba, tukijuzana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi baina yako na mkeo/mumeo, mchumba au mpenzi. Hivi mkiwa wawili na mpenzi wako, katika mazungumzo ya kawaida huwa mnazungumza nini? Yawezekana ukaliona swali hili kama jepesi lisilo na maana lakini ukweli ni...

 

10 years ago

GPL

UNAPOKUWA FARAGHA NA MWENZA WAKO, NI MAZUNGUZO GANI YAFAA -2

Tunaendelea na mada yetu tuliyoianza wiki iliyopita ya mazungumzo yanayofaa unapokuwa faragha na mwenza wako.Nianze kwa kuwashukuru nyote mliochangia mada hiyo kwa njia ya ujumbe mfupi kwa lengo la kupanuana mawazo. Siwezi kuwataja kwa majina lakini nauheshimu mchango wa kila mmoja katika kuwekana sawa katika ulimwengu wa mapenzi ambao wengi wetu tunaishi ndani yake.Tunaendelea kuchambua mazungumzo yanayofaa ukiwa na mpenzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumfunza mtoto wako heshima

Unaelewa nini unaposikia neno heshima? Umewahi kufikiria jinsi gani unaweza kumlea mwanao katika misingi ya heshima? Heshima huanzia wapi hasa?

 

10 years ago

Bongo5

Umaliziaji wako ndio utakaokupa heshima na sio jinsi ulivyoanza

Kuanza vizuri hakuna sifa kubwa kama kumaliza vizuri. Watu wengi huwa tunapenda kuanza kwa mbwembwe na matarumbeta mengi sana lakini tunashindwa kumalizia kila tunachokifanya vizuri. Ukifuatilia historia ya watu wengi ni kwamba walianza vizuri lakini wakashindwa kumalizia vizuri na watu wakawadharau kwa umaliziaji wao mbovu. Haijalishi umeanzaje bali utakavyomalizia itatupa picha wewe ni mtu wa […]

 

10 years ago

Vijimambo

SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.

Na Bashir Yakub.

Suala la matunzo ya watoto/mtoto lim ekuwa ni suala ambalo wasomaji wengi wamekuwa wakiniuliza sana. Wengi wao wanaouliza ni wale ambao wamezaa nje ya ndoa na hivyo kuna utata wa matunzo ya watoto na wale ambao wamekuwa wana ndoa lakini sasa tayari wametengana aidha kwa talaka au bila talaka. Niseme tu kwa ufupi kuwa suala la matunzo ya watoto linajumuisha mambo mengi nami nitaeleza baadhi tu. 1.

HUWEZI KUMLAZIMISHA MTOA MATUNZO KUTOA AMBACHO HANA. Kumekuwepo na tabia ya...

 

10 years ago

GPL

SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.

Na Bashir Yakub. Suala la matunzo ya watoto/mtoto lim ekuwa ni suala ambalo wasomaji wengi wamekuwa wakiniuliza sana. Wengi wao wanaouliza ni wale ambao wamezaa nje ya ndoa na hivyo kuna utata wa matunzo ya watoto na wale ambao wamekuwa wana ndoa lakini sasa tayari wametengana aidha kwa talaka au bila talaka. Niseme tu kwa ufupi kuwa suala la matunzo ya watoto linajumuisha mambo mengi nami nitaeleza baadhi tu. 1. HUWEZI...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.

Na   Bashir  Yakub.

Suala  la matunzo  ya  watoto/mtoto  lim ekuwa  ni suala  ambalo  wasomaji  wengi  wamekuwa  wakiniuliza sana. Wengi  wao  wanaouliza  ni  wale  ambao  wamezaa  nje  ya  ndoa  na  hivyo  kuna  utata  wa  matunzo  ya  watoto  na  wale  ambao  wamekuwa wana ndoa  lakini  sasa  tayari  wametengana  aidha  kwa  talaka  au  bila  talaka.  Niseme  tu kwa  ufupi  kuwa  suala  la  matunzo  ya watoto  linajumuisha  mambo  mengi  nami  nitaeleza  baadhi  tu.


1.HUWEZI  KUMLAZIMISHA ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani