Magaidi wajifaidisha na uwindaji haramu
Magaidi na wanamgambo wamekuwa wakifaidi kutokana na uwindaji haramu pamoja na uharibifu wa mazingira
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbwa wanavyokabiliana na uwindaji haramu Afrika
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Msigwa aonyesha video ya uwindaji haramu
11 years ago
Mwananchi08 Jul
MAONI: Video ya uwindaji haramu iitoe Serikali usingizini
10 years ago
Vijimambo15 Nov
UMOJA WA MATAIFA WATOA MWONGO DHIDI YA UWINDAJI HARAMU WA TEMBO AFRIKA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-VbL769tY46U%2FVGay1TdKAGI%2FAAAAAAADNAw%2FyyGk9jZiG44%2Fs1600%2F149108.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Maalu, New York
Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Madawa ya Kulevya na Uhalifu mwingine ( UNODC) Novemba 13 imetangaza mwongozo ambao utachangia katika juhudi zinazoendelea za kukabiliana na mauaji holela ya tembo na biashara haramu ya pembe za ndovu hususani Afrika.
UNODC imetoa mwongozo huo kwa kile inachosema, ni kuongezeka kwa biashara hiyo ambayo sasa makundi ya kihalifu yanajihusisha kwa kasi, jambo linalotishia kutoweka kabisa kwa mnyama huyo....
5 years ago
MichuziMBUNGE WA KISHAPU SULEIMAN NCHAMBI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA SILAHA 10, RISASI 536 NA NYAMA 'UWINDAJI HARAMU'
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akionesha kwa waandishi wa habari silaha alizokamatwa nazo mbunge wa Jimbo la Kishapu Suleiman Masoud Suleiman 'Suleiman Nchambi'.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
9 years ago
Habarileo18 Oct
Vibali vya uwindaji vyasitishwa
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezuia utoaji wa vibali vya uwindaji wanyama pori kwa miaka miwili. Sanjari na hilo amezuia uuzaji na upelekaji wa wanyama hao nje ya nchi.
11 years ago
Habarileo07 Jul
Msigwa: Kampuni za uwindaji zichunguzwe
WAZIRI Kivuli wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, ametaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina dhidi ya kampuni zote za uwindaji, kubaini matukio ya ukiukwaji wa sheria za wanyamapori, unaosababisha taifa kupata sifa mbaya.
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Wataka uwindaji wa kitalii kuzuiwa