Msigwa:Anayemudu uchungaji na Ubunge
Peter Msigwa anavaa kofia mbili katika uongozi wa jamii. Kwanza ni kiongozi wa kiroho yaani mchungaji anayehubiri injili na vilevile ni mwanasiasa anayewawakilisha wananchi wa Iringa Mjini kama mbunge wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIqN80lPOSbZt8VptLr23aJCrEp05oRRZFhiZd*C1k5O4H4bwa9X1RIRLSiM*1aeOK*eezVx1lIOFmrfHG0C1ipg/msigwa.jpg?width=650)
MSIGWA APIGWA ZENGWE UBUNGE IRINGA 2015
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LxvMl_N0rUs/VaNWMT99dnI/AAAAAAAHpQc/a1blBPwPumg/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA AMVAA MCHUNGAJI MSIGWA UBUNGE IRINGA MJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LxvMl_N0rUs/VaNWMT99dnI/AAAAAAAHpQc/a1blBPwPumg/s320/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4MyLf6WyAIc/VavIziIWuMI/AAAAAAADzjs/t8UzEvcLz-U/s72-c/b4d3bef478ea198d2d08c6d34b40c839.jpg)
MSIGWA APATA RIDHAA YA WANANCHI KUONGOZA MIAKA MITANO MINGINE KITI CHA UBUNGE IRINGA MJINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4MyLf6WyAIc/VavIziIWuMI/AAAAAAADzjs/t8UzEvcLz-U/s640/b4d3bef478ea198d2d08c6d34b40c839.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HtO-gnXQquw/VavIy-9PURI/AAAAAAADzjQ/XS7CCiF7J7I/s640/4e84c731519dfb5728f7672ed9e39b23.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yRajGeLovA8/VavIzTypiII/AAAAAAADzjw/lfyVHr__iTA/s640/b266a25a62f4883f4094bc22a36afd09.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aS-GXWD0PSg/VavIzR-IKHI/AAAAAAADzjY/A2BgAPLx3yw/s640/63d5ba9db8950c6bdc3034ea66373a74.jpg)
9 years ago
MichuziWAFUASI 60 WA CHADEMA AKIWEMO MGOMBEA UBUNGE MCHUNGAJI MSIGWA MATATANI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MAWE MKUU WA FFU NA WANANCHI WALIOKUWA WAKITOKA KUMSIKILIZA DR MAGUFULI .....
Na MatukiodaimaBlogJESHI la polisi kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mkoani Iringa watumia mabomu ya machozi kuwakamata wafuasi zaidi ya 60 wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema ) akiwemo mgombea ubunge wao jimbo la Iringa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
18 wavuliwa uchungaji Moravian
ASKOFU wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini, Dk. Lusekelo Mwakafwila, amewavua uchungaji waamini 18 wa kanisa hilo baada ya kuridhika kwamba walikaidi uamuzi halali wa Sinodi na kufanya...
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Masanja: Uchungaji si mzaha, jaribuni muone
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa...
9 years ago
Bongo Movies23 Sep
Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais...
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Msanii wa filamu aliyeamua kufanya kweli kwenye uchungaji