Masanja: Uchungaji si mzaha, jaribuni muone
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies23 Sep
Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Mzaha mzaha utumbua usaha milipuko ya mabomu Arusha
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
18 wavuliwa uchungaji Moravian
ASKOFU wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini, Dk. Lusekelo Mwakafwila, amewavua uchungaji waamini 18 wa kanisa hilo baada ya kuridhika kwamba walikaidi uamuzi halali wa Sinodi na kufanya...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Msigwa:Anayemudu uchungaji na Ubunge
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Msanii wa filamu aliyeamua kufanya kweli kwenye uchungaji
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Miyeyusho: Njooni muone ninavyomkalisha Mkenya
MWANAMASUMBWI Francis Miyeyusho wa Tanzania, anakabiliwa na pambano dhidi ya David Chalanga wa Kenya, litakalopigwa Desemba 31 katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam. Ni pambano muhimu kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3KOhR8v2a09tq1JNj9XLlgLME*8O*AqwHDCIsZR6VYoA3lRD1UYJT*fpjlRKiSfhm751LgH-NURamMXkGZy7ZXno8ScQd7k/YUOIOIO.gif?width=650)
Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao
10 years ago
GPLSserunkuma: Subirini muone moto wangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycM5fm07A0WikWiuOxQ6WxCq1oFpYP5r5Yo1Ef2tMiSEa6PSWP1z0kXwXwiBxgC79O1o0v563XmANLvTtUpDY*qr/loga.jpg)
Loga: Nipeni Mbeya City muone kazi