Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masanja: Uchungaji si mzaha, jaribuni muone

masanjaMCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.

Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.

“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Masanja: Uchungaji Si Mzaha, Afunguka Haya

MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.

Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.

“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais...

 

11 years ago

Mwananchi

Mzaha mzaha utumbua usaha milipuko ya mabomu Arusha

Usiku wa kuamkia Julai 8, mwaka huu, bomu la kutupa kwa mkono lililipuka katika mgahawa wa Vama Restaurant uliopo maeneo ya Gymkhana na kujeruhi watu wanane, miongoni mwao wakipoteza baadhi ya viungo vya mwili vilivyolazimika kukatwa kutokana majeraha mabaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

18 wavuliwa uchungaji Moravian

ASKOFU wa Kanisa la Moravian Tanzania, Jimbo la Kusini, Dk. Lusekelo Mwakafwila, amewavua uchungaji waamini 18 wa kanisa hilo baada ya kuridhika kwamba walikaidi uamuzi halali wa Sinodi na kufanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Msigwa:Anayemudu uchungaji na Ubunge

Peter Msigwa anavaa kofia mbili katika uongozi wa jamii. Kwanza ni kiongozi wa kiroho yaani mchungaji anayehubiri injili na vilevile ni mwanasiasa anayewawakilisha wananchi wa Iringa Mjini kama mbunge wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Msanii wa filamu aliyeamua kufanya kweli kwenye uchungaji

Tabia hujenga mazoea, au mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Hii yote ni misemo ya wahenga , na kwa upande mwingine baadhi ya watu hufikia kuamini kuwa kazi anayoifanya mtu fulani huweza kuathiri utamaduni wake katika maisha yake ya kila siku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho: Njooni muone ninavyomkalisha Mkenya

MWANAMASUMBWI Francis Miyeyusho wa Tanzania, anakabiliwa na pambano dhidi ya David Chalanga wa Kenya, litakalopigwa Desemba 31 katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam. Ni pambano muhimu kwa...

 

10 years ago

GPL

Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao

Straika mkongwe wa Simba, Mussa Mgosi. Wilbert Molandi,Dar es Salaam
STRAIKA mkongwe wa Simba, Mussa Mgosi, ametamka kuwa kama timu yake inataka mabao, basi apangwe na Mganda, Hamis Kiiza kikosini. Washambuliaji hao wote walijiunga kwenye kikosi cha Muingereza, Dylan Kerr hivi karibuni kwa mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo iliyoweka kambi yake visiwani Zanzibar. Mgosi aliyetokea Mtibwa Sugar baada ya kumaliza mkataba...

 

10 years ago

GPL

Sserunkuma: Subirini muone moto wangu

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Simon Sserunkuma. Na Omary Mdose
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Simon Sserunkuma, amefunguka kuwa ataonyesha moto wake katika michezo ya Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuendelea keshokutwa Ijumaa.Sserunkuma amesajiliwa na Simba kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea timu ya Express ya Uganda, anatarajiwa kushuka dimbani kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa ligi kuu utakaopigwa...

 

10 years ago

GPL

Loga: Nipeni Mbeya City muone kazi

Kocha wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia. Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Croatia, amesema amezisikia taarifa za kuyumba kwa Mbeya City na kuwaambia viongozi wa klabu hiyo, wampe nafasi ya kuinoa waone kazi.
Logarusic aliyeinoa Simba kwa nusu msimu, amesema iwapo atakipata kikosi cha Mbeya City, chenye wachezaji anaowajua vizuri, basi kila kitu kitabadilika....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani