Mgosi: Nipangeni na Kiiza muone mabao
![](http://api.ning.com:80/files/N3KOhR8v2a09tq1JNj9XLlgLME*8O*AqwHDCIsZR6VYoA3lRD1UYJT*fpjlRKiSfhm751LgH-NURamMXkGZy7ZXno8ScQd7k/YUOIOIO.gif?width=650)
Straika mkongwe wa Simba, Mussa Mgosi. Wilbert Molandi,Dar es Salaam STRAIKA mkongwe wa Simba, Mussa Mgosi, ametamka kuwa kama timu yake inataka mabao, basi apangwe na Mganda, Hamis Kiiza kikosini. Washambuliaji hao wote walijiunga kwenye kikosi cha Muingereza, Dylan Kerr hivi karibuni kwa mkataba wa miaka miwili kuichezea timu hiyo iliyoweka kambi yake visiwani Zanzibar. Mgosi aliyetokea Mtibwa Sugar baada ya kumaliza mkataba...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 May
Simba yamrejesha Mgosi
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), safari hii imemrejesha mshambuliaji wake wa zamani, Musa Hassan Mgosi, huku ikimnasa pia kipa wa JKU ya Zanzibar, Mohammed Abrahman Mohammed.
Mgosi, aliyeichezea Mtibwa Sugar msimu uliopita, alitemwa kwenye kikosi hicho msimu wa 2010/11 na kutimkia DC Motema Pembe ya DRC, kabla ya kurejea tena nchini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mwenyekiti wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6MgXzqQGy3lz4UiN-3khvqxM1uxigMPxNPEOJvL7ojwCQWZ9kFoKSP8b35A5u5*jE7ONGPXmh8pOAKM9sQ*TOwutEczYOyWR/Cannavaro2.jpg)
9 years ago
Vijimambo21 Sep
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Mgosi azipotezea Yanga, Azam FC kiaina
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Masanja: Uchungaji si mzaha, jaribuni muone
MCHEKESHAJI wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’, amewataka wanaomtuhumu kwamba anatumia tiketi ya uchungaji kama njia ya kujiingizia kipato wajaribu kazi hiyo wataona malipo yake.
Aliongeza kuwa uchungaji ni wito na siyo kazi, pia uchekeshaji ni ajira yake, hivyo hawezi kuacha uchekeshaji kwa sababu ya uchungaji kwa kuwa hakiuki miiko ya uchungaji.
“Eti wanasema uchungaji na siasa wapi na wapi, mbona kuna chama cha siasa kimojawapo mgombea wao wa urais ameletwa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Katiba mpya: Mgosi kwenda na mkewe
BAADA ya kijiwe kufanyiwa mtima nyongo na kuenguliwa kushiriki Bunge la Katiba, mmoja wetu Mgosi Machungi amejipenyeza kama mzee Kimdunge Ngumaru Mwehu aliyepitia chama cha waganga wa jadi. Mgosi Machungi...
10 years ago
GPLSserunkuma: Subirini muone moto wangu
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Mgosi aipa masharti mazito Simba
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Miyeyusho: Njooni muone ninavyomkalisha Mkenya
MWANAMASUMBWI Francis Miyeyusho wa Tanzania, anakabiliwa na pambano dhidi ya David Chalanga wa Kenya, litakalopigwa Desemba 31 katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam. Ni pambano muhimu kwa...